Necta na cambridge

Necta na cambridge

mojaone

Senior Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
135
Reaction score
30
Salaam wanaJF,

Nahitaji kujuzwa faida ya mitihani ya Necta na Cambidge kwa vijana wanaomaliza darasa la saba,

Kijana nahitaji kuanza kujipanga mapema,mliopitia huko naomba kujuzwa,

Natanguliza shukrani
 
Cambridge ni kiboko yao.Inakufanya uwe mahiri hasa.Mfano ENGLISH Utafanya paper 3.Oral{spoken}:Listening:na Reading and Writing.ukifanya paper kama hizo ni lazima upate kitu.Vilevile grade za Cambridge ni tofauti sana na NECTA Mfano😛RIMARY&IGCSE A*=91_100,A=81_90,B=71_80,C=61-70,D=51-60,E=41-50,G=31-40,UNGRADED=0-30.Kazi kwako.
 
Nawashukuru sana,

kijana bado hajajua kama abaki hapo hapo anakopata hiyo cambrige au afanye na hizo za necta,

Kuna umuhimu wa hicho cheti cha darasa la saba la necta??
 
Nakushauri aingie kwenye curriculum ya Cambridge.Waliokwama NECTA walikombolewa kwa Cambridge.Ninayo mifano hai lukuki.Vigogo wanakimbizia wapendwa wao CAMBRIDGE.Walala hoi wanabana NECTA.Kama utarithia na maoni yangu tuma sms kwa namba 0655223661.Tueleweshane zaidi.
 
Back
Top Bottom