Nakuunga mkonoHahahaha, waiba mtihani mmeshikwa pabaya....Dokta Athumani amejua kuwakaba.
Mleta mada upuuzwe, Dk anachapa Kazi hasa, hataki janjajanja, mnacorrupt wasimamizi wawaonyeshe mitihani na kuwapa watoto majibu, halafu mnakuja kujitapa shule zenu zinaongoza.
Wahusika popote mlipo, Dk athibitishwe, Kwa hili sebene alilowachezesha kwenye hii mitihani Dk anatufaa, tena ikiwapendeza apewe na Uwaziri kabisa.
Alitaka Dr. Amasi akasimamie?Kwani mitihani inaibwa na watoto?au watu wazima (walimu/wenye shule)ndio huwapelekea hayo majibu ya mitihani (wizi).
Wanaotakiwa kuadhibiwa ni wezi wa mitihani ambao kimsingi sio watoto kwa sababu wao hawajui hata inapohifadhiwa hiyo mitihani.
Sheria ya ushahidi (The Law of Evidence) inamtambua mkamatwa na ngozi ndiye mwizi.Kwani mitihani inaibwa na watoto?au watu wazima (walimu/wenye shule)ndio huwapelekea hayo majibu ya mitihani (wizi).
Wanaotakiwa kuadhibiwa ni wezi wa mitihani ambao kimsingi sio watoto kwa sababu wao hawajui hata inapohifadhiwa hiyo mitihani.
Viongozi wanawajibika kwa makosa ya watendaji wao, hii ni mila na desturi ya dunia nzima.Alitaka Dr. Amasi akasimamie?
Kazi yake ni kudhibiti isivuje na haikuvuja bali wasimamizi wamemmsaliti na wakuu wa shule
Wizi ulikuwepo sema walikua wanaficha shule kibao zilifungiwa kimya kimya kaka,nampongeza mnoo wa Sasa kusanua liveKabla ya Athumani kuwa Kaimu KM leo, enzi za awamu ya 5 tulisahau wizi na udanganyifu kwenye mitihani. Athumani alikuwepo ndani ya mfumo huo makini km mtumishi mwandamizi hivyo alijuwa mfumo ulivyoziba mianya ya wizi, iweje leo ana mamlaka makuu (hata km anakaimu) ashindwe kutumia mfumo ule ule uliotumika kuziba mianya ya udanganyifu? Akiri tu kuna sehemu amepwaya.
Au tunataka kujaza majengo ya madarasa tuliyoongeza kwa kuwapa wadanganyifu second chance?
Vyeti feki wamelipwa mafao manono (sijui na wengine wamerejeshwa!?) Wadanganyifu wa mitihani nao wanapewa fursa ya pili!? Madhali wadanganyifu wanajulikana kwanini wasipandishwe kortini ili iwe fundisho? Vinginevyo tufute mitihani ya shule tubakishe ile ya vyuo
Huna akiliSheria ya ushahidi (The Law of Evidence) inamtambua mkamatwa na ngozi ndiye mwizi.
Wenye namba za mtihani siyo Walimu na wamiliki-shule bali ni watoto.
Scripts zilizosahihishwa ambazo ndizo udanganyifu ulibainiwa ni za watoto siyo za Walimu wala wamiliki-shule.
🤣🤣🤣 Kwa jinsi alivyowakaba mwaka huu hawatamsahau....wajikaze wafundishe tu 🤣Mwaka huu private mmeshikwa pabaya sanaa poleni
Acheni janja janja za kuiba mitihani vishule bongo vya private bure kabisaaa,Mwaka huu tumeshuhudia hakuna A za mchongo mchongo,wakuu wa shule za private Mwaka huu hawatasahau kilichowakuta
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tena wafundishe hasaaa na wawalipe walimu salaries zao,wameloweshwa na Maji ya barafu na wamepoa hao balaaa....Kwa jinsi alivyowakaba mwaka huu hawatamsahau....wajikaze wafundishe tu
Sio kwelii hakuna kiongozi alidhibiti kuvuja mitihani Tena enzi zao ndo vilizidi ,nimefanya necta zotee kipindi ndalichako ndo katibu na Pepa zilivuja haswaaaa....Ndalichako kapanda ngazi za juu kurudi NECTA ni kumfanyia demoshen, aliweza kudhibiti uvujaji wa mitihani pamoja na udhibiti wa vyeti feki
Huyu kaletwa kwa sababu ya ZanzibarHahkaletwa kwa sababu ya Zanzibara, waiba mtihani mmeshikwa pabaya....Dokta Athumani amejua kuwakaba.
Mleta mada upuuzwe, Dk anachapa Kazi hasa, hataki janjajanja, mnacorrupt wasimamizi wawaonyeshe mitihani na kuwapa watoto majibu, halafu mnakuja kujitapa shule zenu zinaongoza.
Wahusika popote mlipo, Dk athibitishwe, Kwa hili sebene alilowachezesha kwenye hii mitihani Dk anatufaa, tena ikiwapendeza apewe na Uwaziri kabisa.
MmeanzaYuko kimkakati kuokoa dini fulani hivi.
BMZ (Baraza la Mitihani Zanzibar) zamani ZEC (Zanzibar Examinations Council) siyo nyumbandogo ya NECTA.Hyou kale
Huyu kaletwa kwa sababu ya Zanzibar
Tusubiri form four result
Mama hataki kusikia shule za kojani zimeshika mkiaaa
Una jinsia 2 wwHuna akili
URT mafanikio ya sekta ya elimu yanatengenezwa na shule binafsi. Ukiondoa shule binafsi sekta inakufa km ambavyo sekta ya afya itakufa km yafuatayo yakitokea 100%:-Kwa jinsi alivyowakaba mwaka huu hawatamsahau....wajikaze wafundishe tu
Umeona eee... nchi ya 256 wameisha achana nayo. Benki ya Dunia wakishirikiana na UNICEF na UNESCO waliendesha mradi wa majaribio wa kuondoa mitihani shule za msingi na sekondari ya kawaida (upili) kwenye hiyo nchi ya 256 wamefanikiwa.Mtihani wa darasa la saba una effect gani hata ukivuja wote? Kama tu wa form four hauna maana inakuaje wa la saba? Wanafunzi wanahitimu form six hawana uwezo wa ku analyse na ku synthesize mambo waliyofundishwa. Mitihani ya ngazi za chini za elimu imekuwa haina impact kwa wahitimu wake
Udanganyifu kwy mitihani ya darasa la saba 2022 unampunguzia sifa kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA Athumani Amasi; za kuthibitishwa kwenye nafasi hiyo adhimu na kuibua matamanio ya enzi za Katibu Mtendaji wa zamani wa taasisi hiyo Dr. Charles Enoch Msonde aliyehamishiwa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwenye wadhifa wa Naibu Katibu Mkuu.
Jitihada za Dr. Msonde zilipewa msukumo na nguvu ya Mhe. Prof. Joyce Ndichako aliyeapa na kufanikiwa kuishi kwenye kiapo chake hicho cha mitihani kutovuja au udanganyifu kutofanyika kwa muda wote wa utumishi wake wizara ya elimu.
Kwa litmus test hii ya kwanza kabisa kwa Athumani Amasi; ya udanganyifu kwenye mitihani ya taifa ya darasa la saba, ni wazi kabisa kwamba ama mmoja wa wafuatao arudishwe kwenye nafasi zao za awali au nchi iendelee kunasa kwenye uozo:
1. Dkt. Charles Enoch Msendo
2. Prof. Joyce Ndalichako