Tatizo mkisha vuka hizo level mnasahau mlipitaje...!Tuwe wakweli hapa nani hakuangaika kutafuta possible za kidato cha nne na sita ili afaulu mitihani.Mpaka vyuoni bado watu wanahangaika kwa wanavyo jua wao kupata GPA nzuri.Hatualalishi jambo lenyewe la kuiba mitihani au kuvuja lakini mambo hayo yapo yamewabeba wengi hasa kupitia possible wakati ule bado zinapatikana,nisijue kwa sasa kama bado zinapatikana.Jifunze ku tolerate baadhi ya vitu katika jamii.Yapo mambo yanaweza kuonekana mabaya lakini yana faida kubwa kwa baadhi ya wanao yatenda.Mifano ipo mingi sana lakini naomba kuishia hapo.