NECTA examiners report by subjects

NECTA examiners report by subjects

INSONSILE

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,909
Reaction score
2,809
Wanajamvi habari za leo?

Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia NECTA examiners report (especially kwa mitihani ya kidato cha nne) niko interested sana na somo la History. Kuna wakati nilipata kama za miaka miwili kwenye mtandao, bahati mbaya flash disk yangu ilicrash nikapoteza kila kitu. Sasa najaribu kuzitafuta mtandaoni nashindwa kabisa sijui nakosea wapi. Kama kuna mwenye uelewa zaidi anaweza kunisaidia online source. KAma kuna mtu anazo naomba anisaidie, unaweza kunipm ili nikupe namna rahisi ya mimi kuzipata. Nahitaji at least ya miaka kumi (2005-2014)

UPDATES
Mtandaoni nimepata ya mwaka 2013 tuu. Naendelea kusaka, atakayepata zingine anitupie
 
Nenda NACTE....
E- Govt hapa Bobgo bi kizungumkuti. Sasa kama hata ripoti zinazoweza kusaidia utendaji wa kawaida itampasa mtu atoke Kigoma, Rukwa, Ruvuma, ......kuzifata huko NECTA/NACTE, ambako atakutana na mizengwe rundo. No longer at ease.
 
http://41.188.153.12:8080/BRN/CSEE_2012_QPC/012_HISTORY_CSEE_2012.PDF

Zinapatikana hapa NECTA | Big Results Now

Zipo za 2012 na 2013 tuu maybe ndio utaratibu wa softcopy ulivyo anza otherwise andika email kwa katibu mtendaji baraza la mitihani (esnecta at necta dot go dot tz) unaweza kusaidiwa kupata zingine kama zipo.

Wanajamvi habari za leo?

Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia NECTA examiners report (especially kwa mitihani ya kidato cha nne) niko interested sana na somo la History. Kuna wakati nilipata kama za miaka miwili kwenye mtandao, bahati mbaya flash disk yangu ilicrash nikapoteza kila kitu. Sasa najaribu kuzitafuta mtandaoni nashindwa kabisa sijui nakosea wapi. Kama kuna mwenye uelewa zaidi anaweza kunisaidia online source. KAma kuna mtu anazo naomba anisaidie, unaweza kunipm ili nikupe namna rahisi ya mimi kuzipata. Nahitaji at least ya miaka kumi (2005-2014)

UPDATES
Mtandaoni nimepata ya mwaka 2013 tuu. Naendelea kusaka, atakayepata zingine anitupie
 
Mkuu MashaJF, asante. Hiyo link niliifungua jana ikawa inagoma, ila leo nimecheki kweli imekubali na nimepata hiyo ya 2012. Hizo zingine nitaendelea kuzitafuta hata physically. Be blessed
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mtoa mada hizi ripoti hata mm nimeanza kuzitafuta leo lakini ninachokipata hapa ni maruweruwe tu. Nchi hii katika suala zima la kufanya kazi electronically ni matatizo makubwa. Ripoti kama hz zilitakiwa ziwekwe kwenye website ya NECTA ili kuwasaidia wadau. Nashangaa ripoti zinawekwa kama mkojo wa kuku badala ya kuwekwa kwa wingi na kwa ufasaha. Katika nchi hii bado kuna ufanyaji kazi kwa misingi ya kitutusa.
 
Back
Top Bottom