NEC yatupa kando malalamiko ya UKAWA

NEC yatupa kando malalamiko ya UKAWA

youngsharo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,491
Reaction score
500
Malalamiko ya Umoja Wa Katiba Ya Wananchi [ukawa] juu ya kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi wa Ccm Bw. Abdallah Bulembo, kuwa chama chake hakitakuwa tayari kuiachia ikulu kwa namna yoyote ile,

Mwenyekiti Wa Ukawa Freeman Mbowe na mwanasheria mkuu Tundu Lissu waliiomba NEC kulaani kauli hiyo, lakini Mwenyekiti wa NEC Jaji mstaafu Damian Lubuva ameyatupa kando malalamiko hayo na kudai kuwa hiyo ni kauli ya kisiasa ya kutafuta ushindi na inaweza kutumika na upande wowote.
 

Anaweza akasema chochote asubiri uchaguzi uishe atangaze tofauti na matokeo halali aijue nguvu ya umma. Mwenzie wa Kenya aliesema hata hajui nani alieshinda hadi leo bado anakimbia.Sasa wanapelekwa mahakamani kwa kutumia nembo ya M4C iliyosajiliwa kisheria na chadema akawaambie majudge waitupilie mbali na hiyo.
 
Anaweza akasema chochote asubiri uchaguzi uishe atangaze tofauti na matokeo halali aijue nguvu ya umma. Mwenzie wa Kenya aliesema hata hajui nani alieshinda hadi leo bado anakimbia.Sasa wanapelekwa mahakamani kwa kutumia nembo ya M4C iliyosajiliwa kisheria na chadema akawaambie majudge waitupilie mbali na hiyo.
Ndugu,karma is bitch. It *** u right away here. Kivuitu alisharest in hell .
 
Anaweza akasema chochote asubiri uchaguzi uishe atangaze tofauti na matokeo halali aijue nguvu ya umma. Mwenzie wa Kenya aliesema hata hajui nani alieshinda hadi leo bado anakimbia.Sasa wanapelekwa mahakamani kwa kutumia nembo ya M4C iliyosajiliwa kisheria na chadema akawaambie majudge waitupilie mbali na hiyo.

na watanzania tupo tayari kwa lolote.
 
kwa hiyo hata mtu akisema nitaingia msituni nisipotangazwa mshindi ni poa tu kwa lubuva!!!!
hii katiba ya ovyo sana,halafu kile kibabu kilichopigwa na makonda kipo bize kumpigia kampeni mwanae....

ndugu yangu we acha tu lakini sisi haturudi nyuma
 
Malalamiko ya Umoja Wa Katiba Ya Wananchi [ukawa] juu ya kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi wa Ccm Bw. Abdallah Bulembo, kuwa chama chake hakitakuwa tayari kuiachia ikulu kwa namna yoyote ile,

Mwenyekiti Wa Ukawa Freeman Mbowe na mwanasheria mkuu Tundu Lissu waliiomba NEC kulaani kauli hiyo, lakini Mwenyekiti wa NEC Jaji mstaafu Damian Lubuva ameyatupa kando malalamiko hayo na kudai kuwa hiyo ni kauli ya kisiasa ya kutafuta ushindi na inaweza kutumika na upande wowote.

Wote akina Lowasa,Mbatia,Tundu LIssu,na wapiga filimbi wa Ukawa WENGI TU NDANI YA JAMIFORUMS wamekuwa wakisema lazima ikulu waingie UKAWA au LOWASSA

Hongera NEC kwa kutupilia mbali mashtaka ya kitoto ya CHADEMA
 
Huu uchaguzi ni wa kuingia Ikulu sio msituni! Ukisema utaingia msituni wewe ni gaidi unatakiwa kupigwa nondo mchana kweupe!!!
kwa njia ipi?maana kauli ya bulembo anamaanisha hata kwa kutumia jeshi wataingia ikulu tu!!!!
 
Hivi ulitegemea waseme nini

ndo maana huwa nasema kusoma nako ni muhimu coz utaweza kuchambua kiundani lipi baya na zuri, kwa iyo we hapo unaona yuko sahihi tu sio?
 
kwa njia ipi?maana kauli ya bulembo anamaanisha hata kwa kutumia jeshi wataingia ikulu tu!!!!

ndo maana yake, inamaana unaposema hatupo tayari kuachia kwa namna yoyote ile ina maana hata ukishindwa kwa kura we huachii.
 
kwa njia ipi?maana kauli ya bulembo anamaanisha hata kwa kutumia jeshi wataingia ikulu tu!!!!
Kwa maana nyingine Bulembo ameunga mkono kauli ya gamba mwenzie Nape ambaye naye aliwahi kujiapiza kuwa hata iweje, ni lazima Sisiem watalazimisha kuingia Ikulu, hata kama kwa kufunga goli la mkono.

Kama kauli za hatari ya design hizo, Jaji Lubuva anazimezea, basi upo uwezekano mkubwa wa vijana wa Bensouda watawaburuza maccm kwenda The Hague kwenye mahakama ya kihalifu ya kimataifa, iwapo kauli hizo za kuhatarisha amani zitaachiwa zizungumzwe hadi kusababisha machafuko nchini.
 
Kwa maana nyingine Bulembo ameunga mkono kauli ya gamba mwenzie Nape ambaye naye aliwahi kujiapiza kuwa hata iweje, ni lazima Sisiem watalazimisha kuingia Ikulu, hata kama kwa kufunga goli la mkono.

Kama kauli za hatari ya design hizo, Jaji Lubuva anazimezea, basi upo uwezekano mkubwa wa vijana wa Bensouda watawaburuza maccm kwenda The Hague kwenye mahakama ya kihalifu ya kimataifa, iwapo kauli hizo za kuhatarisha amani zitaachiwa zizungumzwe hadi kusababisha machafuko nchini.

yaani ndo mwanzo wa kuchafua siasa.
 
Back
Top Bottom