beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (National Electoral Commission-NEC) imemteua Anna Alinanine Kajigili (CHADEMA) kuwa Diwani wa Wanawake wa Viti Maalum katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo
Uteuzi huo ni baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa aliyezingatia masharti ya kifungu cha 13(1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa
Kajigili anajaza nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya aliyeteuliwa awali kujiuzulu uanachama wa CHADEMA
Uteuzi huo ni baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa aliyezingatia masharti ya kifungu cha 13(1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa
Kajigili anajaza nafasi hiyo iliyokuwa wazi baada ya aliyeteuliwa awali kujiuzulu uanachama wa CHADEMA