Mbona kitaa tuna ULINZI SHIRIKISHI? Kwanini wananchi wasishirikishwe kulinda kura? Kwani Tume ya Uchaguzi si ya kwao?
Kitendo cha Nec kupiga makelele kwamba hakuna ruhusa kulinda kura, kinawafanya wananchi wahisi kuwa NEC wanataka kuiba.
Na wanazidi kukosea kwa kumuandama mgombea anayetetea kura zisiibiwe. NEC walitakiwa wamuunge mkono mgombea huyo kwani ameonyesha kujali usalama wa kura.
Lakini kama NEC wanataka makelele ya kulinda kura yakome, basi watoe tangazo kwamba mwaka huu Ruksa kulinda kura.
Kitendo hicho naamini kutawapa wananchi confidence na tume yao, na makelele kuhusu kulinda kura yatapungua, kama siyo kukoma kabisa.
cc Mag3, Matola, Salary Slip, tindo
Kitendo cha Nec kupiga makelele kwamba hakuna ruhusa kulinda kura, kinawafanya wananchi wahisi kuwa NEC wanataka kuiba.
Na wanazidi kukosea kwa kumuandama mgombea anayetetea kura zisiibiwe. NEC walitakiwa wamuunge mkono mgombea huyo kwani ameonyesha kujali usalama wa kura.
Lakini kama NEC wanataka makelele ya kulinda kura yakome, basi watoe tangazo kwamba mwaka huu Ruksa kulinda kura.
Kitendo hicho naamini kutawapa wananchi confidence na tume yao, na makelele kuhusu kulinda kura yatapungua, kama siyo kukoma kabisa.
cc Mag3, Matola, Salary Slip, tindo