NEC wapiga marufuku siasa kwenye kampeni za madiwani

You are probably right. Usiseme bombardier imekamatwa
Kila kitu ni safi sana awamu hii ya 5 Kwanza hakuna haja ya Bunge Viongozi tulio nao wameshushwa na Mungu wana akili sana 'Our Leaders are so Clean and Very Bright they went to Good Schools Than Any of us Who is out side the System'
 
Wakuu kufanya kampeni za wagombea bila kufanya mikutano ya siasa kuna maanisha nini?
 
Hahaa, jamaa hawajiamini huku wakijinasibu nchi ya vyama vingi. Hivi unawezaje kutenganisha mikutano ya kisiasa huku ukiomba kura? Kuwa kiongozi huku hujiamini ni kiama cha karne
 
Yamezidiwa mpaka yanaomba msaada NEC. Maana kwenye mikutano yao ya kampeni hayana jipya zaidi ya kumshambula KOMANDO NYALANDU. wabongo sasa hivi wanajielewa. NYOMI kwenye kampeni za UKAWA. zimewatia HOFU maana mkulu na serikali take kachambuliwa kabaki mweupee.
 
Yamezidiwa mpaka yanaomba msaada NEC. Maana kwenye mikutano yao ya kampeni hayana jipya zaidi ya kumshambula KOMANDO NYALANDU. wabongo sasa hivi wanajielewa. NYOMI kwenye kampeni za UKAWA. zimewatia HOFU maana mkulu na serikali take kachambuliwa kabaki mweupee.
yameona pia nec haiwezi yasaidia yamehamia sumatra, eti haturuhusiwi kuongelea siasa tukiwa katika vyombo vya usafiri vya umma
 
Kampeni kwa asili yake ni siasa. Sasa wawezaje kufanya kampeni bila siasa.
Watu wazae bila kujaamiana!
We have descended too low!
 
hawa NEC ni wapuuzi sana mbona mgombea urais kwa tiketi ya CCM alikuwa anafanya mazoezi ya kupiga pushapu kwenye majukwaa ya kampeni wakati wa uchaguzi mkuu na mkaa kimya?....acheni double standards NEC-CCM1
 
yameona pia nec haiwezi yasaidia yamehamia sumatra, eti haturuhusiwi kuongelea siasa tukiwa katika vyombo vya usafiri vya umma
Hahahaaaaaaaaa Sumatra kama kenge shubaamiti zao yaani hapa nimekaa na jirani tunasafiri tuongee sijui habari za Kakobe au za UKAWA na CCM
 
lah awamu hii tutasikia mengi, sasa kampeni bila siasa ndiyo kampeni za namna gani hizo, wangetakiwa watupatie mfano.
 
Siasa ni ninini???
Ni pale unapozungumzia bombardier, Makinikia au Chato International Aiport jukwaani wakati wanakijiji hao hawajawahi hata kuiona Mark X ikipita kijijini kwako kusiko na barabara:)

Kwa hisani ya NEC!
 
Hubirini watu waokoke huko kwenye kampeni au zunguzieni mvua za kwanza ni za kupandia
 
Tatizo la uelewa tu hili! Mikutano ya Kampeni mbona inaendelea kwenye Kata zinazofanya Uchaguzi, na wagombea makini wamefika mbali sana na ushindi wao uko dhahiri.
 
Back
Top Bottom