hahahahaha! umeifanya siku yangu iwe bora.jamaa alipiga pushups bila kuruhusiwa na tumehawa NEC ni wapuuzi sana mbona mgombea urais kwa tiketi ya CCM alikuwa anafanya mazoezi ya kupiga pushapu kwenye majukwaa ya kampeni wakati wa uchaguzi mkuu na mkaa kimya?....acheni double standards NEC-CCM1