eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Hivi ni sheria inayowataka watu kukaa mita 100 au ni tume ndio inawataka watu wakae mita 100 na kama ni sheria tume au police wanatoa wapi mamlaka ya kuwakataza watu walioamua kusimama kwa amani ili kuangalia kila kinachotokea hatua yoyote ya kuwaondoa watu waliosimama mita mia moja kwa amani kinyume na sheria inavyotaka ni kuipoteza amani yetu na hili tume na police ICC itawahusu baada ya uchaguzi hatuko tayari kwenda kinyume na sheria ya uchaguzi kama mnavyotaka nec na police