Nimemsikia mwenyekiti wa NEC anadai kuwa wao wanahakiki matokeo ya urais yanayotoka kwenye majimbo na wakigundua yamekosewa wanayarekebisha.Hapa kwa kweli, sijamuelewa!anahakiki vipi wakati wanpokea figures tu? watajuaje kuwa figures hizo zina makosa wakati wao wako Dar na uchaguzi umefanyia mbali? Ina maana wanaletewa form za matokeo ya kila kituo?Hapa si ndipo uchakachuaji unapofanyika?