Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe la leo, Mkurugenzi wa NEC, Rajabu Kiravu,amenukuliwa akisema "wasimamizi wa uchaguzi watajumlisha matokeo ya uchaguzi wa wabunge na kuwatangaza washindi na kura za madiwani zitajumlishwa na wasimamizi wasaidizi wa ngazi za kata na kuwatangaza washindi".
Kwa nini hajazungumzia kura za uraisi? Hizo haziwezi kutangazwa vituoni na majimboni?
Kwa nini hajazungumzia kura za uraisi? Hizo haziwezi kutangazwa vituoni na majimboni?