Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Mzembe sana wa Kufikiri wewe bwana, kuna sehemu amewahi kujitambulisha kama waziri?
Anapiga kampeni na ANARUHUSIWA KISHERIA KUFANYA HIVYO kwasababu
1. Yupo kwenye Orodha ya Watu 50 ambao wana jukumu la kumnadi Mgombea URais, Na sheria iko wazi kwamba Mgombea URais atakuwa na Timu ya watu wasiozidi 50 kumsaidia kupiga kampeni kokote nchini.
2. Mnapopigwa mweleka ni hapa, Hatumii cheo mnachomuita. Yeye ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM.

Mambo mepesi tu, mnahangaikaaa kama kuku anaetaka kutaga. Wacheni porojo
Kakojoe ulale
 
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.

Babymama cariha , pls join me
Hongera kwa kiingereza chako cha kutongozea mademu wa chuo.
 
Mzembe sana wa Kufikiri wewe bwana, kuna sehemu amewahi kujitambulisha kama waziri?
Anapiga kampeni na ANARUHUSIWA KISHERIA KUFANYA HIVYO kwasababu
1. Yupo kwenye Orodha ya Watu 50 ambao wana jukumu la kumnadi Mgombea URais, Na sheria iko wazi kwamba Mgombea URais atakuwa na Timu ya watu wasiozidi 50 kumsaidia kupiga kampeni kokote nchini.
2. Mnapopigwa mweleka ni hapa, Hatumii cheo mnachomuita. Yeye ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM.

Mambo mepesi tu, mnahangaikaaa kama kuku anaetaka kutaga. Wacheni porojo
Unadhani kuwa hawajui ni wanajitoa tu akili wehu awa.
 
Kwakweli mgombea urais wachama cha magu anacheza rafu nyingi sana mfano

Mkichagua mpinzani hampati maendeleo wakati tanzania ni 1 vyama visituondolee umoja wetu
Hii kauli imenikera sana na imebadili sana mtizamo wangu
 
Hii kauli imenikera sana na imebadili sana mtizamo wangu
Tunataka rais atauendeleza umoja wetu vyama vipo tanzania nimali yawatanzania kama yalivyo madini mareli mabwawa hatahayo mandendege tunavitu vingi vinaingiza hasara kama vile timu ya taifa na vilabu kimatafa lakini bado nivyetu
Tumkatae kwanguvu zote ambae ameshindwa kutugawa kwa dini ukabila hata anaejaribu kutugawa kwa kutumia vyama
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
[/QU
lazima utambue kwamba Mh.Kassimu Majaliwa kwasasa atembei kama Waziri Mkuu,bali yeye ni Mjumbe wa kamati kuu ya CCM.
Pia, Tufahamu kwamba kwamujibu wa kifungu cha 7(3) cha Kanuni ya Taifa ya Uchaguzi, Mgombea atakuwa na timu ya Kampeni kwa lengo la kumnadi na kumsaidia mgombea huyo katika kampeni za Uchaguzi . Mgombea huyu anapaswa kuwasilisha majina ya watu wanaounda timu yake ya kampeni siku mbili kabla ya kuanza kwa mchakato wa uteuzi au siku saba baada ya uteuzi.

Mgombea Urais anakuwa na timu ya kampeni yenye watu 50 waliorodheshwa na chama husika kisha orodha hiyo kuwasilishwa kwa Msajili wa vyama vya siasa (Kanuni ya Taifa ya Uchaguzi ,Kifungu cha 17(1)(a)); hivyo ndg Majaliwa ni miongoni mwa hao watu 50 wanaotambulika.

Hivyohivyo ,Mgombea kiti cha Ubunge kwa Tanzania Bara anapaswa kuwasilisha kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri husika timu yake ya kampeni yenye watu wasiozidi ishirini (20)(Kanuni ya Taifa ya Uchaguzi ,Kifungu cha 17(1)(b)).
Mgombea ubunge kwa Tanzania Zanzibar anapaswa kuwasilisha kwa Katibu Tawala wa Wilaya timu yake ya kampeni yenye watu wasiozidi ishirini (20). (Kanuni 17(1)(b));

,Mgombea kiti cha Udiwani anapaswa kuwasilisha kwa Afisa Mtendaji wa Kata husika timu yake ya kampeni yenye watu wasiozidi kumi(10)(Kanuni ya Taifa ya Uchaguzi ,Kifungu cha 17(1)(b)).
hivyo,tunaposikia tuu majukwaani turudi kwanza kwa utafiti kabla ya kuanza kulalamika na kuporomosha matusi.
 
Kwa jinsi nionavyo uchaguzi Wa bongo ni maigizo tu na kukamilisha ratiba tu hakuna chochote
 
Ingekuwa vyema usome kwanza hicho ulichoambatisha kabla ya kulalamika. Wapi Rais na Waziri Mkuu wametajwa hapo. Ni sheria ipi unayoizungumza?
Ivi Mwalimu akisema viranja wote piteni mbele, kiranja mkuu atabaki nyuma? Mafisiem kuweni na akili walau kidogo basi kumsifu kiranja wa malaika muda wote hadi uwezo wa kufikiri unadumaa. Ukishakuwa waziri mkuu wewe ni waziri, ndo maana kwenye baraza la mawaziri waziri mkuu yumo. Katika uchaguzi huu wagombea wako kwenye ngazi tatu tu, udiwani, ubunge na urais. Wote wanaowania nafasi kwenye ngazi hizi ni wagombea na sheria inawataja kwa makatazo hayo.
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749

Majaliwa anadhani ni Waziri Mkuu anayeendelea.

Kitaaluma yeye ni kocha wa kabumbu huyo ndiye PM anayeendelea.

Hivi ni Tz peke yake.
 
Ingekuwa vyema usome kwanza hicho ulichoambatisha kabla ya kulalamika. Wapi Rais na Waziri Mkuu wametajwa hapo. Ni sheria ipi unayoizungumza?
in short "watendaji wa serekali " nikwa ujumla hajatajwa moja moja.
Pia" mawaziri ...etc". Sasa wazir mkuu sio waziri
 
Ivi Mwalimu akisema viranja wote piteni mbele, kiranja mkuu atabaki nyuma? Mafisiem kuweni na akili walau kidogo basi kumsifu kiranja wa malaika muda wote hadi uwezo wa kufikiri unadumaa. Ukishakuwa waziri mkuu wewe ni waziri, ndo maana kwenye baraza la mawaziri waziri mkuu yumo. Katika uchaguzi huu wagombea wako kwenye ngazi tatu tu, udiwani, ubunge na urais. Wote wanaowania nafasi kwenye ngazi hizi ni wagombea na sheria inawataja kwa makatazo hayo.
Nakiri ,umasikini wa akili ni tatizo kubwa sana.
 
Back
Top Bottom