Mtoka Mbali
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 237
- 25
Haiwezekani hapa Arusha pamoja na CHADEMA kushinda kiti cha ubunge, madiwani nao pia ni wa kumwaga alafu eti Kikwete anaongoza kwa kura. Hivi hawa CCM na NEC watufanya sisi watanzania wapumbavu. Siongei kwa ubaya ila hata NEC Arusha ni wa kuwajibishwa maana walitaka kumuhonga Mh Lema ila washukuriwe Mh Ndesamburo na Mh Mbowe waliokataa hongo hiyo baada ya kuwasili eneo la tukio.