NEC hoi, itaharibu mambo

Rais ndiye hubeba taswira ya taifa! Taifa huwa imara kwa kadiri ya kiongozi wake mkuu anavyokuwa imara, and the converse is also true!
 
haya aliwah kuyasema Nguruvi3 kwamba NEC iache kuhadaa watu kwamba watamaliza kufanya kazi ya kuandikisha kwa mudaa huu mfupi ili kura ya maoni ipigwe
haya sasa hata njombe hapajaisha kura ya maoni ni mwezi wa 4 inakuwaje?

Wanasubiri Maelekezo Kutoka Lumumba. Lumumba ikisema hakuna Kura ya Maoni kesho yake utamuona Jaji Lubuva kwenye Media
 
Ccm imechoka
Sihofii kura ya maoni kama navyoofia uchaguzi wa October naona kama ccm wanatafuta sababu waendelee kuongoza kwa nguvu
 
Ya leo kali kweli mwenyekiti analalamika kanyimwa bvr kits Kenya na Nigeria..teeeh huyu mzee huyu

Hii ni aibu ya RAIS wa Tanzania.Yaani huko wanacheka na kumng'on'ga,yaani Mzee kwa kusafiri lakini ameshindwa kununua vifaa muhimu vya uchaguzi.

Duh,kwa pesa za kununua Khanga na Tshirt,kuiba wanazo,za kununua vitu vya maana hakuna,..."Eti tumeenda kuazima"Kweli aliyezoea kukalia JAMVI ukimpa kiti atashindwa atataka akae chini kabisa...................
 
Ati walienda kuazima vifaa vya kuandikisha NIGERIA na Kenya! na wakanyimwa! AIBUUUUU.... kwa kweli Taifa lipo mashakani kwa namna hii. kila kitu tunaomba, tuna azima, tunakopa.... hata kuandikisha hakuna plan hadi tuazime! Shame on you !
 

Tatizo siyo Mwenyekiti wa Tume bali watawala.
 
haya aliwah kuyasema Nguruvi3 kwamba NEC iache kuhadaa watu kwamba watamaliza kufanya kazi ya kuandikisha kwa mudaa huu mfupi ili kura ya maoni ipigwe
haya sasa hata njombe hapajaisha kura ya maoni ni mwezi wa 4 inakuwaje?

Aliyepanga kura ya maoni anajulikana; siyo NEC. Wanaotoa fedha za kugharamia uboreshaji daftari la wapiga kura ili kura ya maoni ifanyike siyo NEC. Serikali ndiyo inayolazimisha kura ya maoni na serikali hiyo hiyo imeshindwa kuipatia NEC fedha kwa wakati. Wa kulaumiwa kwa hili siyo NEC bali ni serikali.
 
Ccm imechoka
Sihofii kura ya maoni kama navyoofia uchaguzi wa October naona kama ccm wanatafuta sababu waendelee kuongoza kwa nguvu
Umecheza na akili yangu kabisa. Hata walazimishe kupitisha katiba kibabe cha muhimu ni kuhakikisha uchaguzi mkuu wa october ushindi mkubwa unakwenda kwa upinzani. Hapo hiyo katiba inapigwa chini kwa ridhaa ya wananchi kisha tunafuata katiba ya akina Warioba. Cha muhimu bunge hili kama litaweza lipitishe tume huru ya uchaguzi na ninapendekeza tume ya akina Jaji Warioba ndio ipewa mikoba ya tume.
 
Wanasubiri Maelekezo Kutoka Lumumba. Lumumba ikisema hakuna Kura ya Maoni kesho yake utamuona Jaji Lubuva kwenye Media

hapa panatakiwa hata wananchi wenyewe tufanye maamuzi magumu kidogo
 

NEC nailaumu manake inashindwa kuiaambia serikali ukweli. sion haja ya LUBUVA kusema kura ya maoni itawezekana na wananchi wataandikishwa ikiwa naona mapungufu yaliyopo. kwann assiambie serikali kwa mwenendo wenu wa kutiokuleta fedha kwa wakati na kuwa na vifaa vichache zoezi halitoweza kumalizika ndani ya muda mnao taka ili kura ipigwe.

kwenye action plan yake NEC si ilipanda ikijua kwamba vifaa wanavyotaka vingefika? SASA KAMA HAVIJAFIKA KWANN WASISEME HAPA TUTASHINDWA KUFIKIA LENGO?
 
Baada ya kufanikiwa kufanya mambo kwa kubahatisha bahatisha na uzembe wa hali ya juu na kukwepa kushughurikia mambo ya msingi kwa takribani miaka tisa ya utawala wake sasa kikwete hana pakutokea.

wahenga walisema hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, na sasa inatokea

wahenga pia walisema, mficha ugonjwa ataumbuliwa na kifo, na ssa inatokea

Crisis hii haiharishiki, Kikwete asipokimbilia kudai amekubariana na ushauri wa wale wanaopendekeza hili zoezi lisitishwe kupisha uchaguzi mkuu nchi inaingia matatizoni sasa hivi.

na udhaifu wake utakuwa bayana kwa ulimwengu mzima.
 

Hivi pesa ya escrow haitoshi kununua???
 
Mambo mengine ni kukaa kimya tu. Time will speak...
 
Hivi pesa ya escrow haitoshi kununua???

Umesahau wameshagawana maana mpaka Housegirl wa nanii alipewa ili asitoe siri:eyebrows::eyebrows:.....Ila angalia KUCHA tu............:disapointed::disapointed:
 

NEC wanadai vitambulisho vya zamani ni tosha! Sasa hizi bvr za nini? Khalafu kuhakiki ghost voters inakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…