Sio mbaya usiwe mbali Sana kufatilia update mara kwa mara baada ya hiyo nafasi za kusimamia uchaguzi serikali za mitaa unafuata lazima watatangaza lakini watakaosimamia zoezi hili nahisi watapewa kipaumbele sababu watakua na uzoefu Kama watakavyofanya kwa hili waliosimamia uchaguzi 2015 kwa mfumo wa BVR wanapewa nafasi zaidi