Nec -ccm wamejaa wanafiki;badilikeni-rais karume

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,722
21,775
Kwanaza nakupongeza kwa hili hadharani si mwenzio kikwete analea wachafu Nec kuogopa kukosa kura asilimia 100 wakatyi ana 70 tayari za wizi

Raisi wa zanzibar Mh AMANI.A.KARUME amewashangaa wajumbe wa NEC CCM ambao wlaipitisha serikali ya umoja wa kitaifa SUK lakini wanageuka na kupita kushawishi watu kuikataa
amesema kitendo hicho ni cha aibu na aibu kwa chama na viongozi wake kwani ni sawa na kupinga
maamuzi ya chama ;Rais karume aliyasema hayo wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wa ccm na vyuo vikuu mjini unguja

Hebu wajumbe wa NEC CCM Achen kutia aibu jamani kwa hili kwa kushawishi waananchi kukataa kupiga kura serikali ya umoja wa kitaifa..sitaki kuendelea zaidi kwa hili kwa sababu naweza kuwaumbua viongozi wanaoupinga na wengine wazee wangu wakubwa wangu..kwa mujibu wa karume wapo viongozi wakubwa wa serikali ambao wanapinga uamuzi uliopitishwa na ccm katika vikao halali kuhusu SUK

Aliwaeleza viongozi wasiopenda umoja wa kitaifa ni hatari katika jamii ya zanzibar na wala awawatakii mema wananchi wa zaznibari..ni wa kuogopwa kabisa na napenda kuwalinganisha hawa kama wakaanga ubuyu mara zote wanaawaachia wenye meno kutafuna..wakija kwenu wakataeni hao viongozi wambien tunawaogopa kama ukoma wanawakaangia mbuyu mtafune baadae wanakimbia kisiwa kabisa....huku akishangiliwa na wanafunzi hao

kiongozi huyo alitishia kuwaumbua watu wa aina hiyo kwa sababu kamwe awawatakii mema wnanchi
suk kamwe aikwepeki na amewabes-za viongozi wanaopitakuwahsawishi wananchi wamepitwa na wakati..alisema atashangaa kuona wananchi watakaopinga SUK...nEC nawaonya acheni unafiki jamani ......naomba kwa hili tutaumbuana
 
Kwanaza nakupongeza kwa hili hadharani si mwenzio kikwete analea wachafu Nec kuogopa kukosa kura asilimia 100 wakatyi ana 70 tayari za wizi

Raisi wa zanzibar Mh AMANI.A.KARUME amewashangaa wajumbe wa NEC CCM ambao wlaipitisha serikali ya umoja wa kitaifa SUK lakini wanageuka na kupita kushawishi watu kuikataa
amesema kitendo hicho ni cha aibu na aibu kwa chama na viongozi wake kwani ni sawa na kupinga
maamuzi ya chama ;Rais karume aliyasema hayo wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana wa ccm na vyuo vikuu mjini unguja

Hebu wajumbe wa NEC CCM Achen kutia aibu jamani kwa hili kwa kushawishi waananchi kukataa kupiga kura serikali ya umoja wa kitaifa..sitaki kuendelea zaidi kwa hili kwa sababu naweza kuwaumbua viongozi wanaoupinga na wengine wazee wangu wakubwa wangu..kwa mujibu wa karume wapo viongozi wakubwa wa serikali ambao wanapinga uamuzi uliopitishwa na ccm katika vikao halali kuhusu SUK

Aliwaeleza viongozi wasiopenda umoja wa kitaifa ni hatari katika jamii ya zanzibar na wala awawatakii mema wananchi wa zaznibari..ni wa kuogopwa kabisa na napenda kuwalinganisha hawa kama wakaanga ubuyu mara zote wanaawaachia wenye meno kutafuna..wakija kwenu wakataeni hao viongozi wambien tunawaogopa kama ukoma wanawakaangia mbuyu mtafune baadae wanakimbia kisiwa kabisa....huku akishangiliwa na wanafunzi hao

kiongozi huyo alitishia kuwaumbua watu wa aina hiyo kwa sababu kamwe awawatakii mema wnanchi
suk kamwe aikwepeki na amewabes-za viongozi wanaopitakuwahsawishi wananchi wamepitwa na wakati..alisema atashangaa kuona wananchi watakaopinga SUK...nEC nawaonya acheni unafiki jamani ......naomba kwa hili tutaumbuana

Mkuu umeniacha hoi kwa hii niliyo bold lakini umeongea ukweli kweli tupu. Rais karume yupo sahihi kabisa, kuna watu ndani ya CCM ni wabinafsi sana wanaangalia masilahi yao tu, nafikiri Karume kaona legacy pekee ni kuicha Zanzibar ya baba yake iliyo tuli na yenye mshikamano ila Kuna watu hawataki kukubali na nitashangaa sana kama SHAMUHUNA si miongoni mwa hao watu
 
Back
Top Bottom