Ndunda Ndunda na Salum Mwalimu!

Kilicho nishangaza ni cheo chake na muonekano wake yani chapwaaaaa
Ka mchuzi usio kuwa na ndimu
Aisee

Wewe ni kati ya vilaza na wasiyo jitambua
 
Kilicho nishangaza ni cheo chake na muonekano wake yani chapwaaaaa
Ka mchuzi usio kuwa na ndimu
Aisee

Wewe ni kati ya vilaza na wasiyo jitambua,au ndio ulikuwa unausongo na kupost chochote jf?
 

Stupid!!
 
ungekuwa ni uwezo wangu mijitu kama ninyi ningewafutilia mbali Jf....kila siku watu kama ndo ninyi mnashusha hadhi sana ya Jf....
 
Daktari amewaamuru manesi wapitie vitanda vyote kuangalia kama kuna mgonjwa ametoroka hospitali
Mkuu una maanisha msako wa kitanda kwa kitanda uanze kufanyika kuanzia pale Milembe - Dodoma hospitali kuu ya vichaa Tanzania!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…