Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,559
- 3,953
Paul Makonda ambaye kwa sasa ni Naibu Waziri wa Michezo nchini na Mbunge wa Arusha Mjini alitoa ahadi ambayo kwa kweli ilikuwa ni ya ajabu sana.
Septemba 19, 2025 alipotembelea soko la Samunge na kuzungumza na wafanyabiashara aliahidi kuwa katika kusherehesha shamrashamra za mkesha wa mwaka mpya (2026) angemleta muigizaji maarufu duniani Arnold Schwarzenegger jijini Arusha.
Sasa mkesha ulikuwa jana kuamkia leo, ndugu zetu wa Arusha tupeni updates, Arnold Schwarzenegger ameshaonekana huko?
Pia soma: GE2025 - Makonda: Nikishinda Ubunge nitamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha
Septemba 19, 2025 alipotembelea soko la Samunge na kuzungumza na wafanyabiashara aliahidi kuwa katika kusherehesha shamrashamra za mkesha wa mwaka mpya (2026) angemleta muigizaji maarufu duniani Arnold Schwarzenegger jijini Arusha.
Sasa mkesha ulikuwa jana kuamkia leo, ndugu zetu wa Arusha tupeni updates, Arnold Schwarzenegger ameshaonekana huko?
Pia soma: GE2025 - Makonda: Nikishinda Ubunge nitamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha