Ndugu zangu wananitaka kimapenzi

Ndugu zangu wananitaka kimapenzi

udugu wenu upo vipi?,wana uhusiano gani na kaka yako?...hueleweki!..
 
Nilipata wasaa wakumtembelea bro Arusha kufika kama kawaida nilikaa kidogo japo miezi miwili basi pale kwa bro kulikuwa na ndugu wengine wamekuja pale mmoja nilimkuta mwingine alikuja baada ya mimi kutangulia wakawa wananigombania bila kujijua, kila mmoja ananiambia wewe sio ndugu yangu fanya utakacho.

Baadaye wakaanza kuhusiana wananipenda kila mmoja akimuhisi mwenzie basi vijembe mbaka nikaona nyumba ya moto nikamwambia bro nasepa ingawa nilitamani kuwamega coz wazuri siku ya kuondoka mmoja akanidanganya muda wa mabasi kuondoka nikachelewa usafiri mwingine akajifungia chumbani siku nzima.

Hata nilipokosa usafiri hakutaka kujua alinuna kinoma basi kesho yake nikasepa unaambiwa kila mmoja anamitumia meseji mbaka leo eti amepanga chumba mwingine Morogoro mwingine Mbeya ingawa wa Mbeya nasikia anakidume na tayari anamtoto ushahidi upo ila anakataa.
Mkuu hao ndugu zako jinsia gani?
 
hapo hapafai mdugu... ila hao nduguzo hujasema mmehusianaje maana unaweza ukakuta ni mabinamu tu. na binamu nyama ya hamu
 
Nielekeze ni arusha sehem gani nijawahudumie mkuu
 
Yani mm mwenzenu Nina roho ndogo kweli,Hao ndugu nisinge weza kuwa vumilia na ninge ongeza muda wa kukaa kwa Bro kama nilipanga miezi miwili ninge kaa hata mwaka nikiwa matunda ya ndugu na Hali ilivyo kuwa ngumu na MA SHE wamekuwa adimu kinoma...ila kwa kumalizi una takiwa kuniona nikutandike makofi ya kichwa akili irudi ubongoni.....
 
Nilipata wasaa wakumtembelea bro Arusha kufika kama kawaida nilikaa kidogo japo miezi miwili basi pale kwa bro kulikuwa na ndugu wengine wamekuja pale mmoja nilimkuta mwingine alikuja baada ya mimi kutangulia wakawa wananigombania bila kujijua, kila mmoja ananiambia wewe sio ndugu yangu fanya utakacho.

Baadaye wakaanza kuhusiana wananipenda kila mmoja akimuhisi mwenzie basi vijembe mbaka nikaona nyumba ya moto nikamwambia bro nasepa ingawa nilitamani kuwamega coz wazuri siku ya kuondoka mmoja akanidanganya muda wa mabasi kuondoka nikachelewa usafiri mwingine akajifungia chumbani siku nzima.

Hata nilipokosa usafiri hakutaka kujua alinuna kinoma basi kesho yake nikasepa unaambiwa kila mmoja anamitumia meseji mbaka leo eti amepanga chumba mwingine Morogoro mwingine Mbeya ingawa wa Mbeya nasikia anakidume na tayari anamtoto ushahidi upo ila anakataa.
huyo wa Moro ni-pm namba yake niko moro now. tusaidiane kimtindo kuwakabili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom