Ndugu zangu walutheri

Ndugu zangu walutheri

TataMadiba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
9,868
Reaction score
5,753
Ndivyo itakavyokuwa 27/10/2015 matokeo yatakapotangazwa na Magufuli kuibuka kidedea.
IMG_20150909_124903.jpg
 
Sisi siyo ndugu zako.

Mmeanza uchochezi wetu.

Kura tutampa Lowassa.
 
  • Thanks
Reactions: aye
naona mnachochea kuni haita badili maamuzi ya wengi
 
Kasomeni Luka 11: 17

But he, knowing their thoughts, said unto them, Every kingdom divided against itself is brought to desolation; and a house divided against a house.
 
Mungu Mkubwa Na Kwa Uwezo Wake Lowasa Atashinda
 
TataMadiba hadithi hadithi..urongo njoo...kama unazo kadi zote milioni 24 za kura basi mgombea wako atashinda, lakini kama sisi wapumbavu na malofa katika ubora wetu tunazo kadi zetu...tarajia mabadiliko na huenda ukawa wa kwanza kupata presha. tanzania bila ccm inawezekana oktoba 25
Ndivyo itakavyokuwa 27/10/2015 matokeo yatakapotangazwa na Magufuli kuibuka kidedea.
View attachment 285043
 
watu humu jf huwa wazito sana kuelewa.....
tusubiri hiyo oktoba.........
 
Back
Top Bottom