Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,595
- 3,425
Mimi ni mkristo. Katika ukristo, imendikwa wanyama wote wasiocheua na/au wenye kwato zisizo gawanyika pande mbili si ruhusa kuwala wala kugusa mizoga yao kwa maana ni najisi (Walawi 11:3-4)
Mnyama wa kwanza kabisa aliyetajwa kwenye biblia kuwa najisi na hafai kuliwa wala mzoga wake kuguswa ni Ngamia. Kwa sababu ngamia hana kwato zilizogawanyika pande mbili japo anacheua (Walawi 11:4)
Kwenye Orodha ya wanyama najisi wasio faa kuliwa, nguruwe katajwa mwishoni. Kwasababu yeye hacheui, japo kwato zake zimegawanyika. Sio kwamba kutajwa mwisho inampunguzia au kumwondolea unajisi hapana. Ila basi tu katajwa mwisho. Hayo yalikuwa ni maelekezo ya mwenyezi Mungu mwenyewe.
Ninyi waislamu, kwenye hilo kundi la wanyama najisi, kwanini Nguruwe tu? Ngamia anakuwa vipi halali kwenu? Au Mungu wenu na wetu ni tofauti?
Mnyama wa kwanza kabisa aliyetajwa kwenye biblia kuwa najisi na hafai kuliwa wala mzoga wake kuguswa ni Ngamia. Kwa sababu ngamia hana kwato zilizogawanyika pande mbili japo anacheua (Walawi 11:4)
Kwenye Orodha ya wanyama najisi wasio faa kuliwa, nguruwe katajwa mwishoni. Kwasababu yeye hacheui, japo kwato zake zimegawanyika. Sio kwamba kutajwa mwisho inampunguzia au kumwondolea unajisi hapana. Ila basi tu katajwa mwisho. Hayo yalikuwa ni maelekezo ya mwenyezi Mungu mwenyewe.
Ninyi waislamu, kwenye hilo kundi la wanyama najisi, kwanini Nguruwe tu? Ngamia anakuwa vipi halali kwenu? Au Mungu wenu na wetu ni tofauti?