Naomba kujua kituo kimoja cha yatima kwa Dar kiko sehem gani?Nawakumbusha viumbe wenzangu kusaidia masikini,mayatima na wasio jiweza.Hakika kufanya hivi ni jambo bora na malipo yake ni Akhera
Safi.Tuseme tusaidie wanaohitaji
Kuhusu malipo huko akhera hakuna mwenye uhakika
Isikuhadae dunia,aliyekutoa katika kiza ukawa mtu,atakufisha kisha atakufufua,na usingizi ni mfano wa kifo
Safi.
Hii ya akhera kuna group la watu inawatenga wale wasio amini kuhusu akhera na malipo yake.
Buza roundabout, na msimbazi center ( Tena hapo pako serious kweli)Naomba kujua kituo kimoja cha yatima kwa Dar kiko sehem gani?
Ndiyo tabia zenu fisiem hizo uchoyo, unafiki ubinafsi ufisadi uongo wivu chukiHii dunia hii haiko fear.
Nilipe Kodi ya serikali, nitoe sadaka, nitoe zaka, nitoe fungu la kumi, nihudumie familia, nisaidie extended family, nichangie misiba, nichangie sherehe, nihonge, nivae, Nile, nilipe Kodi ya nyumba, nilipe bills za maji, umeme, nilipe mavazi, nk...nk.
TAFADHALI NDUGU WACHA MASIKINI WAJISAIDIE WENYEWE.
Hii dunia hii haiko fear.
Nilipe Kodi ya serikali, nitoe sadaka, nitoe zaka, nitoe fungu la kumi, nihudumie familia, nisaidie extended family, nichangie misiba, nichangie sherehe, nihonge, nivae, Nile, nilipe Kodi ya nyumba, nilipe bills za maji, umeme, nilipe mavazi, nk...nk.
TAFADHALI NDUGU WACHA MASIKINI WAJISAIDIE WENYEWE.
Myahudi hapa unamaanisha Nini ?4 Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu.
Matendo ya Mitume 10:4
Hii dunia hii haiko fear.
Nilipe Kodi ya serikali, nitoe sadaka, nitoe zaka, nitoe fungu la kumi, nihudumie familia, nisaidie extended family, nichangie misiba, nichangie sherehe, nihonge, nivae, Nile, nilipe Kodi ya nyumba, nilipe bills za maji, umeme, nilipe mavazi, nk...nk.
TAFADHALI NDUGU WACHA MASIKINI WAJISAIDIE WENYEWE.