Detective Dee
Member
- Sep 20, 2015
- 51
- 17
Hiv hawa bodi wanatumia vigezo gan kutoa mkopo? Na sifa zipi? Maana leo wametoa batch ya nne inasemekan ni ya mwisho wakat cha kujiuliza ni bajeti iliyotengwa mwak huu ni zaidi ya billion 400 na awamu ya kwanza ndio awamu iliyo na wanafunzi wengi lakini walisema imetumika sh billion 88 ambayo hata billion 100 haikufika leo hii viawamu vingine vimetok na kusemekan awam zimeisha cha kujiuliza kama awamu ya kwanza ndo yeny wanafunzi wengi na hawakuweza kutumia hata nusu ya pesa za bajeti je hawa waliobaki ndo wamemaliza kiasi kilichobaki? Au ilikuwa maigizo ya bongo movie? Ukitaka kuonekan mbayabusahaulike fuatilia haya mambo This is TANGAGIZA. i hate this leo hii sioni umuhimu wa kusoma ten maana unasoma unaishia form six chuo huend kwa kukosa mikopo masikin wenzangu polen sana pia tupo pamoja kwa wale wa dar bora siku ipangwe twende bodi tukajue hatma yetu ni nini kama virungu borabtupigwe tu kuliko kwenda kijijin ukakae mwaka mzima inauma sanaaaaaaaa.....