Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,490
Naomba hiki nachokiandika hapa kisitafsiriwe kama chuki baina ya wakristo dhidi ya ndugu zetu waislamu ila ni katika kuelimishana tu na kuwekana sawa.
Muda huu niko kwenye daladala natoka tabata naenda posta kwenye siti ya jirani kakaa dada mmoja kavaa mavazi ya heshima sana baibui na nikabu na miguuni kavaa soksi hivyo hata vidole vyake vya miguu havionekani ila kilichonifanya niandike thread hii ni kucha bandia alizobandika huyu dada katika vidole vyake vya mikono ni ndefu sana akiwa kazipaka rangi ya kijani.
Na usoni akiwa amepaka manjano kama nilivyosema mwanzo kavaa nikabu ila bado inaonekana kupitia nafasi ya macho.
Naomba kujua hili huyu dada yuko sawa?
Vazi alilovaa na kucha bandia alizobandika?
Muda huu niko kwenye daladala natoka tabata naenda posta kwenye siti ya jirani kakaa dada mmoja kavaa mavazi ya heshima sana baibui na nikabu na miguuni kavaa soksi hivyo hata vidole vyake vya miguu havionekani ila kilichonifanya niandike thread hii ni kucha bandia alizobandika huyu dada katika vidole vyake vya mikono ni ndefu sana akiwa kazipaka rangi ya kijani.
Na usoni akiwa amepaka manjano kama nilivyosema mwanzo kavaa nikabu ila bado inaonekana kupitia nafasi ya macho.
Naomba kujua hili huyu dada yuko sawa?
Vazi alilovaa na kucha bandia alizobandika?