Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,456
R.I.P Major Kilindo, kaugua kansa kwa muda gani? nimekutana naye miezi michache iliyopita.
Kilindo ndio nani humu wajameni? RIP Kilindo.
Ndugu zangu leo nasikitika kuwataarifu kuwa Ndugu yetu Major Kilindo wa sinza kwa Remmy ( na mapambano) ametutoka leo kwa ugonjwa wa kansa
Msiba uko lwao sinza mapambano
Rest in peace brother Major!
hapana. Major ndiyo jina alilopewa na wazazi wake, baba yake ambaye ni marehemu alikuwa mwanajeshi na mpaka anafariki alikuwa na cheo cha colonel wa JW. Marehemu Meja ni kijana maarufu sana mitaa ya Sinza alikuwa mcheshi na mtu wa kujichanganya sana. Pia Dodoma anafahamika sana, aliishi kule miaka mitatu akiwa mwanafunzi wa CBEHuo ni wasifu wa kijeshi ama ni jina tu
hapana. Major ndiyo jina alilopewa na wazazi wake, baba yake ambaye ni marehemu alikuwa mwanajeshi na mpaka anafariki alikuwa na cheo cha colonel wa JW. Marehemu Meja ni kijana maarufu sana mitaa ya Sinza alikuwa mcheshi na mtu wa kujichanganya sana. Pia Dodoma anafahamika sana, aliishi kule miaka mitatu akiwa mwanafunzi wa CBE
Sinza Tunapoteza ndugu zetu wengi mwaka huu
Liana wa Namnaani RIP
Kulwa Ikangaa RIP
Major Kilindo RIP
Kulwa Ikangaa?!!! You mean that twin girl of LT Col (Rt) Ikangaa?
Yes Sir!
Kulwa Amefariki wiki iliyopita ijumaa amezikwa jumatatu wiki hii. Inasikitisha sana aisee.
Yes Sir!
Kulwa Amefariki wiki iliyopita ijumaa amezikwa jumatatu wiki hii. Inasikitisha sana aisee.