free freed
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 239
- 139
Mlisema mi mpole, sasa nawaletea RAIS MKALI. Kikwete 2015.
Umehamia CCM lini?Kwa kifupi ni CCM Tumeangukiwa na jumba bovu.
naichukia CCM kama nnNdugu yangu, kaka yangu, rafiki yangu JK. Nasikia una mpango wa kumwachia uenyekiti Yule jamaa yetu ambaye hatabiriki. Nimeona Juzi wakati Lubuva anakabidhi ripoti ya uchaguzi pale magogoni mheshishimiwa huyu, alikupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Ati anasema atawalinda marais wastaafu wote, wakati akijua kabisa kuwa wanalindwa na katiba.hiyo yote nilijua ni mbinu tu nyepesi ya kukufanya ujisikie ili umpe uwenyekiti.
Sasa Mimi Kama mwanachama wako mwaminifu nakuomba, usimpe mpaka muda wako umalizike. Sababu ni kwamba, kaka huku mtaani watu wote wamenuna. Tangu ulipoondoka ukatuaminisha ambayo wewe mwenyewe hukuyaamini, hali ni mbaya sana. Sasa wanachama wenzangu tunajiuliza, je? Ikiwa tu hapa tulipo tayari tuko hoi,ukimpa tena huo uenyekiti si itabidi tukimbie kabisa tukafie mbali! Tuone huruma kaka yetu mkubwa. Imeshatosha. Ukimpa tu. Kadi yangu utaikuta mlangoni kwako na Mimi sipo.
Umesema kweli tupu!Au nikisema wabunge wetu huwa hawanaga kawaida ya kutafakari mambo kabla ya kutoa maamuzi basi Mimi naonekana siyo mwana ccm!. Na tusipokuwa na kawaida ya kusema ukweli kuna Siku tutakujashikana uchawi wenyewe. Ndiyo maana tunaona kila uchaguzi baada ya miaka mitano wapinzani wanazidi kuongezeka na sisi tunazidi kupungua.
Ebu tizameni hii aibu waliyotuletea Juzi hawa wabunge wetu. Imekuja hoja ya VAT ktk miamala ya benki, wameipitisha hoja kwa 100% lakini cha ajabu wao wenyewe hawajui hii kodi nani anatakiwa kulipa! Matokeo yake ni gavana na Waziri wanalumbana. Hii ni aibu yetu sote ccm. Ati mtu akisema tu ukweli basi hapo hapo unakuwa siyo mwanaccm. Tuache unafiki. Siyo kwamba ni lazima uwe muongo ndiyo uwe na sifa ya kuwa mwanaccm
Kitendo cha wabunge wetu kukubali na kuunga Mkono hoja 100% ya ongezeko la VAT kwa watalii ni namna nyingine ya kutupunguzia wanachama ktk chama chetu. Kwa sababu sera yetu ni kuwapunguzia wananchi ukali wa maisha. Sasa ikiwa watalii 8000 wamekatisha ziara zao, je? Hao waliokuwa wanategemea hawa watalii ili waishi wataishi vipi!.
Ukweli humuweka mtu huru daima. Siyo uongo kuwa hali za wananchi kwa sasa ni ngumu kuliko kipindi chote tangu Mwinyi, Mkapa na Rafiki yetu Kipenzi Kikwete.Tukumbuke Mzee Mwinyi alipoingia tu madarakani ndani ya kipindi cha miezi 3 tu nchi ilijaa furaha kwa sera yake ya RUKSA .
Sasa hivi bado miezi 3 tu kutimia mwaka. Hii sera ya mafisadi mpaka sasa imesaidia nini wananchi ?
Hahaha...ndugu yangu jogi mbona upo huru namna hiyo, huogopi? Mimi naogopa kaka...Nakuunga mkono kuirudisha ikiwa atampa na usukani wa gari ya pili wakati hili lorry analoliendesha linaonekana kung'olewa steering !!!
Tuombeane mkuu, huu si wakati wa kukaa kimya, ni wakati wa kupiga kelele. By Lissu.Hahaha...ndugu yangu jogi mbona upo huru namna hiyo, huogopi? Mimi naogopa kaka...
Kama unaelewa katiba ndio inamlinda raisi mstaafu na sio raisi ni kipi kimekufanya ushindwe kuelewa katiba ya CCM ndio inayotumika kumpata Mwenyekiti na sio Kikwete?!Ndugu yangu, kaka yangu, rafiki yangu JK. Nasikia una mpango wa kumwachia uenyekiti Yule jamaa yetu ambaye hatabiriki. Nimeona Juzi wakati Lubuva anakabidhi ripoti ya uchaguzi pale magogoni mheshishimiwa huyu, alikupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Ati anasema atawalinda marais wastaafu wote, wakati akijua kabisa kuwa wanalindwa na katiba.hiyo yote nilijua ni mbinu tu nyepesi ya kukufanya ujisikie ili umpe uwenyekiti.
Sasa Mimi Kama mwanachama wako mwaminifu nakuomba, usimpe mpaka muda wako umalizike. Sababu ni kwamba, kaka huku mtaani watu wote wamenuna. Tangu ulipoondoka ukatuaminisha ambayo wewe mwenyewe hukuyaamini, hali ni mbaya sana. Sasa wanachama wenzangu tunajiuliza, je? Ikiwa tu hapa tulipo tayari tuko hoi,ukimpa tena huo uenyekiti si itabidi tukimbie kabisa tukafie mbali! Tuone huruma kaka yetu mkubwa. Imeshatosha. Ukimpa tu. Kadi yangu utaikuta mlangoni kwako na Mimi sipo.
Ukawa wanamatatizoNdugu yangu, kaka yangu, rafiki yangu JK. Nasikia una mpango wa kumwachia uenyekiti Yule jamaa yetu ambaye hatabiriki. Nimeona Juzi wakati Lubuva anakabidhi ripoti ya uchaguzi pale magogoni mheshishimiwa huyu, alikupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Ati anasema atawalinda marais wastaafu wote, wakati akijua kabisa kuwa wanalindwa na katiba.hiyo yote nilijua ni mbinu tu nyepesi ya kukufanya ujisikie ili umpe uwenyekiti.
Sasa Mimi Kama mwanachama wako mwaminifu nakuomba, usimpe mpaka muda wako umalizike. Sababu ni kwamba, kaka huku mtaani watu wote wamenuna. Tangu ulipoondoka ukatuaminisha ambayo wewe mwenyewe hukuyaamini, hali ni mbaya sana. Sasa wanachama wenzangu tunajiuliza, je? Ikiwa tu hapa tulipo tayari tuko hoi,ukimpa tena huo uenyekiti si itabidi tukimbie kabisa tukafie mbali! Tuone huruma kaka yetu mkubwa. Imeshatosha. Ukimpa tu. Kadi yangu utaikuta mlangoni kwako na Mimi sipo.
mpinzani gani huyo mjinga aogope magufuli kupewa uenyekiti wa ccm ni hasara gani upinzani itapata endapo magu atapewa huo uenyekiti jaribu kutumia kichwa chako mkuu kujibu hojaUsidanganye watu. WEWE SIO MWANA CCM hata tone. Ndio wale wapinzani mnaoogopa Magufuli kuongezewa madaraka. Wewe ni kati ya wale mnaosema (japo nina uhakika mnafahamu hamtafanikiwa) mtazuia ule mkutano wa Dodoma wenye lengo la kumkabidhi Magufulu uenyekiti wa CCM.