Ndugu/Watoto wa kishua ni changamoto sana. Msaada please..

Ndugu/Watoto wa kishua ni changamoto sana. Msaada please..

Diego Santana

Senior Member
Joined
May 10, 2025
Posts
147
Reaction score
214
Ndugu/Mtoto wa kishua ukimuweka close anaona kama vile unataka kumuomba pesa zake, hivyo anaanza kukukwepa.

Ndugu/Mtoto wa kishua ukimuweka mbali bila kuwasiliana naye anaona kuwa inferiority complex inakusumbua kwa kuwa wao matajiri na wewe ni masiki hivyo unawaonea wivu.

Yaani ni changamoto sana hawa binadamu wenzetu. Yaaani ni ndugu lawama. Rafiki unaweza ukavunja urafiki, ndugu Je kama hawa??
 
😂

MBONA NI KAMA UNAHAHANGAIKA NA HUYO NDUGU WA KISHUA.

KWANI NI LAZIMA UWE NAE KARIBU AU PIA LAWAMA ZAKE ZA KUWA UKO MBALI NAE ZITAKUATHIRI?

MIMI NAONA TATIZO WEWE WALA SIO NDUGU WA KISHUA
 
😂

MBONA NI KAMA UNAHAHANGAIKA NA HUYO NDUGU WA KISHUA.

KWANI NI LAZIMA UWE NAE KARIBU AU PIA LAWAMA ZAKE ZA KUWA UKO MBALI NAE ZITAKUATHIRI?

MIMI NAONA TATIZO WEWE WALA SIO NDUGU WA KISHUA
Wana lawama sana hao wadau wa kishua
 
Ndugu/Mtoto wa kishua ukimuweka close anaona kama vile unataka kumuomba pesa zake, hivyo anaanza kukukwepa.

Ndugu/Mtoto wa kishua ukimuweka mbali bila kuwasiliana naye anaona kuwa inferiority complex inakusumbua kwa kuwa wao matajiri na wewe ni masiki hivyo unawaonea wivu.

Yaani ni changamoto sana hawa binadamu wenzetu. Yaaani ni ndugu lawama. Rafiki unaweza ukavunja urafiki, ndugu Je kama hawa??
usikae mbali na ndugu wa kishua...unaweza kupata madili ndugu yangu
 
Mkuu ww mpaka umri huo bado hujajua kudeal na mtanzania.

Mtu ambae hajakutafuta kwa miezi sita anakuuliza mbona humtafuti????
Yaani anajihami

Kiufupi bongo unatakiwa kukaa katikati au kuwa mnafiki

Sometimes weka salio wapigie tu wote wasalimie hata unajua kabisa hawakukubali ili wakose cha kusemea
 
Mkuu ww mpaka umri huo bado hujajua kudeal na mtanzania.

Mtu ambae hajakutafuta kwa miezi sita anakuuliza mbona humtafuti????
Yaani anajihami

Kiufupi bongo unatakiwa kukaa katikati au kuwa mnafiki

Sometimes weka salio wapigie tu wote wasalimie hata unajua kabisa hawakukubali ili wakose cha kusemea
Hii mbinu safi sana mkuu
 
Back
Top Bottom