The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,416
Baada ya kusoma kwa kuunga unga kwa msaada wa ndugu jamaa na marafiki nilifanikiwa kufaulu chuo kikuu na kumaliza kwa grade nzuri by then kazi enzi za mkapa zilikuwa bwerere, nikakamatia kazi nikaanza kuishi maisha niliyokuwa nayaona kwa bongo muvi nikakopa ka gari nikapanga sinza ,kamata pisi kali (badae nilijua malaya wa mjini) sikuwa pimbi (mi ni chuganian ila wacha dar iitwe dar .Basi nkaacha kaya nkajiunga na vijana wanywa bia daily sinza ukweli kazi yangu haikuwa na mshahara mkubwa ila nature yake inakusogeza sana na matajiri ni mambo ya consultancy .
Twende kwenye topic basi mizinga ya ndugu ilianza kwa kasi kwa kweli nilikuwa sina jinsi nilijitoa balaa nikijipa moyo mimi bado mdogo muda wa kuwa serious bado hii mitaji ya laki 5 hadi mil 1 haipungui hata 20 mil wote ukimkopa anafungua genge la nyanya badae anakaa miezi sita anaomba laki mbili umuongezee laki mbili auze na samaki wa kukaanga etc ila kila akiota kukuwa ananigeuza mm bank basi bwana ikatokea nikaanza kuwakatalia nikiwaambia kakopeni bank mimi hapo imetosha sijui walinipiga kipapai kazi ikaota magugu.
Mchezo ukaanzia hapo kila mtu ananisema niliendekeza totoz demu akanitema kuchunguza malaya anaejiuza ,basi pango likanishinda kuna rafiki anaishi kwa nyumba yake ya urithi uswazi akaniambia we usijali hamia kwangu niamini mimi hakuwa hata mshikaji kiivyo .basi muhuni nkachoka balaa ile kushinda mtaani nkapata washikaji wa kula nao viloba uzuri pa kulala uhakika mchana nashinda stationery nasaidia kutype by then computer skill zilikuwa adimu kitaa basi nikajiunga na udalali wa nyumba na vyumba ukichanganya na usomi muda mfupi nkapanga mahali survey mwenge japo rafiki yangu alinisihi nisiende mitaa hiyo ntarudia mastarehe .
Maisha yalikuwa ya kubangaiza hadi mwaka juzi nilipo umiza kichwa nikaja na idea yangu ya siri ya kupata hela .Asee tangu hapo nimekuwa na roho mbaya najishangaa yaani nimejenga in short time bila kumuarifu hata ndugu mmoja hata namba yangu hawana kuna siku mmoja aliniunga kwa whatsup group ya familia nkamuuliza umetoa wap namba yangu nikajitoa ,toka hapo asee naona nyota ya utajiri ileeee, Ndugu walioniita teja wanasema nauza dawa za kulevya cha ajabu muhu hata pombe nimeacha nawaprove wrong sana mwakani nampango wa kuhama bongo baada ya corona nihamie zangu kenya maana ridhiki yangu na tajiri wangu ni wa huko .
Ushauri : SAIDIA NDUGU LAKINI ELEWA HATA BILL GATES ANA NDUGU MASIKINI KUWA NA KIASI ,UMASIKINI WAO NI JUKUMU LAO KULITATUA WEWE UNAPASWA USAIDIE KWA KIASI TU ,MAISHA YAO SIO YAKO,NDO MAANA HAWAAMUI MATUMIZI YAKO WALA WEWE HUAMUI YAO ,WAPENDE NDUGU HASA WAKATI WA MAGONJWA ,KESI NA NJAA.MAMBO YA KUTAFUTA UTAJIRI NI MAMBO YA MMOJA MMOJA .KUMBUKA WANAO HATA KAKA YAKO WA DAMU AWE BILL GATES HAWATARITHI HATA BUKU .
Twende kwenye topic basi mizinga ya ndugu ilianza kwa kasi kwa kweli nilikuwa sina jinsi nilijitoa balaa nikijipa moyo mimi bado mdogo muda wa kuwa serious bado hii mitaji ya laki 5 hadi mil 1 haipungui hata 20 mil wote ukimkopa anafungua genge la nyanya badae anakaa miezi sita anaomba laki mbili umuongezee laki mbili auze na samaki wa kukaanga etc ila kila akiota kukuwa ananigeuza mm bank basi bwana ikatokea nikaanza kuwakatalia nikiwaambia kakopeni bank mimi hapo imetosha sijui walinipiga kipapai kazi ikaota magugu.
Mchezo ukaanzia hapo kila mtu ananisema niliendekeza totoz demu akanitema kuchunguza malaya anaejiuza ,basi pango likanishinda kuna rafiki anaishi kwa nyumba yake ya urithi uswazi akaniambia we usijali hamia kwangu niamini mimi hakuwa hata mshikaji kiivyo .basi muhuni nkachoka balaa ile kushinda mtaani nkapata washikaji wa kula nao viloba uzuri pa kulala uhakika mchana nashinda stationery nasaidia kutype by then computer skill zilikuwa adimu kitaa basi nikajiunga na udalali wa nyumba na vyumba ukichanganya na usomi muda mfupi nkapanga mahali survey mwenge japo rafiki yangu alinisihi nisiende mitaa hiyo ntarudia mastarehe .
Maisha yalikuwa ya kubangaiza hadi mwaka juzi nilipo umiza kichwa nikaja na idea yangu ya siri ya kupata hela .Asee tangu hapo nimekuwa na roho mbaya najishangaa yaani nimejenga in short time bila kumuarifu hata ndugu mmoja hata namba yangu hawana kuna siku mmoja aliniunga kwa whatsup group ya familia nkamuuliza umetoa wap namba yangu nikajitoa ,toka hapo asee naona nyota ya utajiri ileeee, Ndugu walioniita teja wanasema nauza dawa za kulevya cha ajabu muhu hata pombe nimeacha nawaprove wrong sana mwakani nampango wa kuhama bongo baada ya corona nihamie zangu kenya maana ridhiki yangu na tajiri wangu ni wa huko .
Ushauri : SAIDIA NDUGU LAKINI ELEWA HATA BILL GATES ANA NDUGU MASIKINI KUWA NA KIASI ,UMASIKINI WAO NI JUKUMU LAO KULITATUA WEWE UNAPASWA USAIDIE KWA KIASI TU ,MAISHA YAO SIO YAKO,NDO MAANA HAWAAMUI MATUMIZI YAKO WALA WEWE HUAMUI YAO ,WAPENDE NDUGU HASA WAKATI WA MAGONJWA ,KESI NA NJAA.MAMBO YA KUTAFUTA UTAJIRI NI MAMBO YA MMOJA MMOJA .KUMBUKA WANAO HATA KAKA YAKO WA DAMU AWE BILL GATES HAWATARITHI HATA BUKU .