vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,800
- 1,211
Humphrey Polepole
Samahani sana tena sana ila nahisi ni roho wa Mungu amenituma nikuletee ujumbe.
Nakuomba angalia nafsi yako Jitathmini tena.
Nilitamani sana kaka/Baba yangu ujumbe huu ukufikie kwasababu najua upo humu unafuatilia kila linalojadiliwa.
Barua yako ya leo kuhusu andiko lilosambaa katika mitandao ya kijamii ambalo amelikana Katibu mkuu wako na wewe kuandika Barua ili KULIKANA ZAIDI zimejaa vitisho na MAJIVUNO ni tamko ambaolo utafikiri limeandikwa na Malaika Mikaeli kwenda kwa wanadamu akimkumbusha maulana kwanini hajawapeleka kuzimu watu waliompinga Yesu Kristu hii ni uonevu kwa wenye imani tofauti kaka yangu!!!!!!!!!!!!
Kaka/Baba yangu Hamphrey polepole Moto utakao kuchoma wewe huko Tunakoita Jehanamu naamini utakua mkali kuliko ambao utamchoma mtu yeyote ambaye naweza kufikiri mimi
Polepole Mungu alikupa kipaji, Mungu alikuleta duniani kwa makusudi maaalum, Umenusurika ajali kadhaa kwasababu bado hujatimiza kusudio la mwenyezi Mungu kukuleta wewe duniani,
Pole pole wewe una Utu, wewe ni mttetezi wa wanyonge kuliko wanachama wengi wa upinzani tunaowajua, pole pole una akili za za ma genius wengi sana ila kwasasa umebadilika sana kwa vitu unavyofanya mpaka mwanangu anakushangaa. Uliposema kuhusu wito wa Bashiru kwa membe ni wa kawaida sijuimimi mwanangu alinihoji nikakosa Jibu, hivi Baba/kaka ulikuwa unawaza unawapa maelezo watu wa aina gani?
Jitafakari kaka/Baba yangu Dunia inapita haya maisha ya dunia ni ya mpito na Maisha yetu ya Milele ni ya Mbinguni! tuliiishe neno ndugu yangu! Mungu yupo.
Humphrey Polepole mwanaharakati jitafutie siku moja kaa tafakari maisha yako kama yapo sawa nenda kampe Mungu sadaka ila kama utaona kuna mahali umeegemea kidunia zaidi jirekebishe.
Wana JamiiForums, hii ni Dunia wote Tupo Njiani tunapita, Kuna maisha zaidi ya hapa kila uchao tumshukuru Mwenyezi Mungu,
Ambao msio amini uwepo wa Mungu naombeni samahani sana tena sana. endeleeni na Imani yenu ila mimi kwa NILIYO YAONIA DADIRIKI KUSEMA . MUNGU YUPO NA ATAENDELEA KUWEPO
MUNGU YUPO LEO NA KESHO NA JANA NA NAMPIGANIA KILA MWENYE HAKI TUKESHE TUKISALI
Samahani sana tena sana ila nahisi ni roho wa Mungu amenituma nikuletee ujumbe.
Nakuomba angalia nafsi yako Jitathmini tena.
Nilitamani sana kaka/Baba yangu ujumbe huu ukufikie kwasababu najua upo humu unafuatilia kila linalojadiliwa.
Barua yako ya leo kuhusu andiko lilosambaa katika mitandao ya kijamii ambalo amelikana Katibu mkuu wako na wewe kuandika Barua ili KULIKANA ZAIDI zimejaa vitisho na MAJIVUNO ni tamko ambaolo utafikiri limeandikwa na Malaika Mikaeli kwenda kwa wanadamu akimkumbusha maulana kwanini hajawapeleka kuzimu watu waliompinga Yesu Kristu hii ni uonevu kwa wenye imani tofauti kaka yangu!!!!!!!!!!!!
Kaka/Baba yangu Hamphrey polepole Moto utakao kuchoma wewe huko Tunakoita Jehanamu naamini utakua mkali kuliko ambao utamchoma mtu yeyote ambaye naweza kufikiri mimi
Polepole Mungu alikupa kipaji, Mungu alikuleta duniani kwa makusudi maaalum, Umenusurika ajali kadhaa kwasababu bado hujatimiza kusudio la mwenyezi Mungu kukuleta wewe duniani,
Pole pole wewe una Utu, wewe ni mttetezi wa wanyonge kuliko wanachama wengi wa upinzani tunaowajua, pole pole una akili za za ma genius wengi sana ila kwasasa umebadilika sana kwa vitu unavyofanya mpaka mwanangu anakushangaa. Uliposema kuhusu wito wa Bashiru kwa membe ni wa kawaida sijuimimi mwanangu alinihoji nikakosa Jibu, hivi Baba/kaka ulikuwa unawaza unawapa maelezo watu wa aina gani?
Jitafakari kaka/Baba yangu Dunia inapita haya maisha ya dunia ni ya mpito na Maisha yetu ya Milele ni ya Mbinguni! tuliiishe neno ndugu yangu! Mungu yupo.
Humphrey Polepole mwanaharakati jitafutie siku moja kaa tafakari maisha yako kama yapo sawa nenda kampe Mungu sadaka ila kama utaona kuna mahali umeegemea kidunia zaidi jirekebishe.
Wana JamiiForums, hii ni Dunia wote Tupo Njiani tunapita, Kuna maisha zaidi ya hapa kila uchao tumshukuru Mwenyezi Mungu,
Ambao msio amini uwepo wa Mungu naombeni samahani sana tena sana. endeleeni na Imani yenu ila mimi kwa NILIYO YAONIA DADIRIKI KUSEMA . MUNGU YUPO NA ATAENDELEA KUWEPO
MUNGU YUPO LEO NA KESHO NA JANA NA NAMPIGANIA KILA MWENYE HAKI TUKESHE TUKISALI