Ndugu, jamaa na marafiki

Ndugu, jamaa na marafiki

Ngurumbizi

Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
97
Reaction score
114
Ndio code mpya tao!
 

Attachments

  • 1754309208928.jpg
    1754309208928.jpg
    397.4 KB · Views: 14
Huyu jamaa bana kabla ya kugongwa na gari alivaa suruali ya jinsi ila baada ya ajali ametokea kavaa kipensi cha jinsi kilicho chanikachanika sijui gari likimgonga mtu linamchania na nguo
 
Huyu jamaa bana kabla ya kugongwa na gari alivaa suruali ya jinsi ila baada ya ajali ametokea kavaa kipensi cha jinsi kilicho chanikachanika sijui gari likimgonga mtu linamchania na nguo
Hahahahahaha au jamaa kapiga visungura akazima , kabla ya kumalizia uzi ikajipost🤔
 
Ndio code mpya tao!
Juma Aweso atakuwa na mkewe Zainab Abdallah

Ridhawan na Mamake Salma

Wanu na mama mdogo Mwanaenzi, pia na mumewe Mchengerwa

Samuel Malecela atakuwa na Mamake Anna Kilango

Geofrey Pinda nae atakuwa na kakake Pinda aliyejiita Ole Pinda kule Ngorongoro

Vita kawawa na dadake

Kwenye urafiki naona wapo wakina Kinje Kingunge, Franklin Sumaye, Mtoto wa Masaburi, Halima Bulembo
 
Back
Top Bottom