na hili zoezi la kudai vyeti liwe la kudumu pia lisibague vyamaWana jopo,
Toka sakata la vyeti vya Mh Paul Makonda liibuke naona tumeongea mengi sana toka kijijini alikozaliwa mpaka kufikia kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salama.
Kila mmoja ameongea kwa hisia tofauti na mitazamo tofauti.
Najaribu kusoma mjadala wa sakata hili ktk mitandao naona kila mtu ni vyeti tu vyeti tu!! vitoe vitoe!!
Najiuliza kuwa watu wanataka vyeti tu au kuna lingine nyuma ktk kutaka vyeti?
Wakipata vyeti vya Makonda na vikawa sawa watasemaje?
Kwanini asakamwe kuhusu vyeti Mara tu baada ya kutangaza issue ya madawa ya kulevya??
Kuna uhusiano gani wa hii issue ya vyeti na mwanainchi wa kawaida wa Dar?
Athari gani chanya au hasi za hili sakata zipo ktk Uongozi wa Mkoa?
Mungu Ibariki Tanzania
Pamoja na porojo zote ulizoandika, mwambie atoe vyeti...!Wana jopo,
Toka sakata la vyeti vya Mh Paul Makonda liibuke naona tumeongea mengi sana toka kijijini alikozaliwa mpaka kufikia kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salama.
Kila mmoja ameongea kwa hisia tofauti na mitazamo tofauti.
Najaribu kusoma mjadala wa sakata hili ktk mitandao naona kila mtu ni vyeti tu vyeti tu!! vitoe vitoe!!
Najiuliza kuwa watu wanataka vyeti tu au kuna lingine nyuma ktk kutaka vyeti?
Wakipata vyeti vya Makonda na vikawa sawa watasemaje?
Kwanini asakamwe kuhusu vyeti Mara tu baada ya kutangaza issue ya madawa ya kulevya??
Kuna uhusiano gani wa hii issue ya vyeti na mwanainchi wa kawaida wa Dar?
Athari gani chanya au hasi za hili sakata zipo ktk Uongozi wa Mkoa?
Mungu Ibariki Tanzania
Daudi Bashite atoe vyeti kwanza Mada za ajabu ajabu zitaishaHili jukwaa limekuwa na mada za ajabu ajabu sana.. kiukweli JF inapoteza ile sifa yake iliyojijengea kipindi cha nyuma..
Na maana hivyo alivyokuwa navyo akiamua tuvione na vikawa sawa yaani OK hakuna dosari itakuwajeNani wakivipata ina maana yeye hana vyeti vyake Kiongozi? Jenga hoja acha kuruka ruka. Ulisha sikia anasema vyeti vyake vimepotea au kuna sehemu Alivisahau? Think louder
Dalili za kukata tamaa hizo na kuishiwa pumzi,umehisi kushindwa kwa kampeni yenu chafuMwiguli, Riz1, Makamba mdogo, Kingwala ngwala, wote hawa waliwahi kuwatingisha waBongo na wakajikuta wako katika hali mbaya sana kisiasa.
Walipofanikiwa kunasuka, walifyata mkia mpaka wa leo huwezi kuwasikia wakiongea ongea kwa nyodo...
Huyu dogo naye hakuweza kujifunza kwa wenzake, akadhani ukisha kuwa na cheo ndio unaweza kuvuta sharubu za kila mtu, sasa nadhani kwa joto hii ya jiwe ambayo ameionja, akiweza kunasuka hapa, 'he will never be the same again'.
Kikwete alishwahi kutaadharisha kwenye suala la EPA pale aliposema kuwa , hawa watu wana nguvu sana, na ukiwagusa nchi itatikisika'... Kikwete aliwajua vizuri wananchi wake anaowaongoza na aliwaongoza kwa taadhari...
Sasa ni zamu ya wanasiasa wengine wanaoibukia kujua nguvu halisi ya watanzania walio wachache ambao kwa kiasi kibubwa wameshikilia uchumi wa nchi hii, au wana influence kubwa ingawa huwezi kuwasikia sikia sana kwenye media...
Wana jopo,
Toka sakata la vyeti vya Mh Paul Makonda liibuke naona tumeongea mengi sana toka kijijini alikozaliwa mpaka kufikia kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salama.
Kila mmoja ameongea kwa hisia tofauti na mitazamo tofauti.
Najaribu kusoma mjadala wa sakata hili ktk mitandao naona kila mtu ni vyeti tu vyeti tu!! vitoe vitoe!!
Najiuliza kuwa watu wanataka vyeti tu au kuna lingine nyuma ktk kutaka vyeti?
Wakipata vyeti vya Makonda na vikawa sawa watasemaje?
Kwanini asakamwe kuhusu vyeti Mara tu baada ya kutangaza issue ya madawa ya kulevya??
Kuna uhusiano gani wa hii issue ya vyeti na mwanainchi wa kawaida wa Dar?
Athari gani chanya au hasi za hili sakata zipo ktk Uongozi wa Mkoa?
Mungu Ibariki Tanzania
Kwa jina la Yesu atayashinda!!!Ni hayo tu....
Itakuwa vimepotelea makanisani, maana haishi kuvitafuta huko.Nani wakivipata ina maana yeye hana vyeti vyake Kiongozi? Jenga hoja acha kuruka ruka. Ulisha sikia anasema vyeti vyake vimepotea au kuna sehemu Alivisahau? Think louder
walimu na Manes waliotimuliwa ivi ilikua issue ya vyeti ama kulikua na issue nyingine nyuma ya pazia?? au kwa kua huyu ni papa??Wana jopo,
Toka sakata la vyeti vya Mh Paul Makonda liibuke naona tumeongea mengi sana toka kijijini alikozaliwa mpaka kufikia kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salama.
Kila mmoja ameongea kwa hisia tofauti na mitazamo tofauti.
Najaribu kusoma mjadala wa sakata hili ktk mitandao naona kila mtu ni vyeti tu vyeti tu!! vitoe vitoe!!
Najiuliza kuwa watu wanataka vyeti tu au kuna lingine nyuma ktk kutaka vyeti?
Wakipata vyeti vya Makonda na vikawa sawa watasemaje?
Kwanini asakamwe kuhusu vyeti Mara tu baada ya kutangaza issue ya madawa ya kulevya??
Kuna uhusiano gani wa hii issue ya vyeti na mwanainchi wa kawaida wa Dar?
Athari gani chanya au hasi za hili sakata zipo ktk Uongozi wa Mkoa?
Mungu Ibariki Tanzania