Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,955
- 122,235
Mimi na familia yangu.Amekuokoa we na nani?na amekuokoa na nini?
Ameniokoa dhidi ya udhalimu wake(jiwe)
Apate haki yake huko alipo!
Mimi na familia yangu.Amekuokoa we na nani?na amekuokoa na nini?
Hekima ni kukaa kimya, sio kuongea pumba.
Mungu Fundi sana ametuokoa!
Si ndio,kwamba badala ya kuweka bati nyeupe waonyeshe upendo kwa CCM kwa kupaka ama kuweka mabati rangi ya kijaniKasema masufuria yaani silver
Nyani siku zote haoni kunduleAkitoa salamu zake mbele ya raisi Samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge Job Ndugai amesema Mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema
"Mwanza kunapendeza lakini kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".
Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria.
Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Mnataka kumjibu kwa kumwambia afadhali paa la masufuria kuliko la matope?Mambo ya utani hayo na atajibiwa siyo muda mrefu.
Acha chuki kasema watani zake.Huyu limbukeni ofisi ya Spika imemzidi kimo tangu mwanzo.
Kusema maneno ya ovyo ni dalili ya kutojua maneno yanayofaa.
Wewe kichwapanzi hata nikiongea falsafa za kuzika ukabila wewe utaona chuki tu.Acha chuki kasema watani zake.
MkuuAkitoa salamu zake mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge Job Ndugai amesema Mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema
"Mwanza kunapendeza lakini kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".
Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama Spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria.
Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Kwahio kwamba waweke mabati yaliopakwa rangi na sio sheet plain zile!Akitoa salamu zake mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge Job Ndugai amesema Mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema
"Mwanza kunapendeza lakini kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".
Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama Spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria.
Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Mimi sio shabiki wa Ndugai..Akitoa salamu zake mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge Job Ndugai amesema Mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema
"Mwanza kunapendeza lakini kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".
Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama Spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria.
Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Huwezi kupanga mji juu ya milima ambayo wasisi wa taifa walishindwa tangu 1961 halafu uje uanze kokosoa kana kwamba mliwawezesha miundo mbinu ya viwanja na barabara.Mimi sio shabiki wa Ndugai..
LAKINI kwa Aliyoongea leo nadhani alimanisha usafi wa Mji na Kupanga Miji yetu na kwamba kule milimani watu wapande miti.
SIDHANI KAMA ALIKUA NA NIA YA kuwazodoa.
OP umesahau kua Ndugai no Mgogo na Wagogo no watani wa sisi Wasukuma.Akitoa salamu zake mbele ya Rais Samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge Job Ndugai amesema Mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema
"Mwanza kunapendeza lakini kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".
Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama Spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria.
Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Acha uzwazwa ndugai ni mwananguHaiwezekani wakazi wote wa Mwanza wakawa watani wake. Yeye ni kiongozi wa taifa lenye makabila mengi na ile ilikuwa sherehe ya kitaifa kwa hiyo ujumbe uwe na mantiki kitaifa.
Nenda ukamtanie hukoFika jimboni kwake kongwa uone wananchi wanalala kwenye nyumna za tembe na wanakunywa matope ya maji.
understand concept ya uzalendo kwanza.Uzalendo kwanza mdogo wangu