nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 4,706
- 7,437
achana na hili fala, utafikili hua halioni kina msukuma wanavyomtania Ndugai hapo mjengoni.Watani zake hao unataka kuleta ujinga wa UFIPA humu.
achana na hili fala, utafikili hua halioni kina msukuma wanavyomtania Ndugai hapo mjengoni.Watani zake hao unataka kuleta ujinga wa UFIPA humu.
Pale kaenda kama Spika wa Tanzania, Mtanzania.Wagogo na wasukuma ni watani
Nani analinda kaburi la meko leo saahizi upo hukuVipi una hela ya kula mchana wa leo DM namba nikutumie angalau 80k ule
Dogo unateseka sana fanya nilichokuambia fasterNani analinda kaburi la meko leo saahizi upo huku
utani ni lazima mkuu. Unafanya watu wasiboreke na hotuba yako. Ukiwa siriazii sana unakua unaboaPale kaenda kama Spika wa Tanzania, Mtanzania.
Habari za ukabila kwenye maisha yake binafsi huko, si kwenye shughuli za kitaifa.
Hekima ni kukaa kimya, sio kuongea pumba.
Mungu Fundi sana ametuokoa!
Mwamba elewa kwamba spika ametania tu hapo hakuwa serious Kama unavyotaka kutuaminisha, wagogo na wasukuma huwa wanataniana ndio maana hata JPM alipokuwa anasema akifa azikwe kwao alisema hataki kuzikwa Dodoma maana wagogo wataanza kucheza na mafisi yao juu ya kaburi lake..Akitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema
"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".
Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Wewe hata kama ningekua na shida bora nife kuliko msaada wako. PumbavuDogo unateseka sana fanya nilichokuambia faster
Ame zarau wanyongeAkitoa salamu zake mbele ya raisi samia kwenye sherehe za wafanyakazi, spika wa bunge job ndugai amesema mwanza ingependeza kama wangeacha kuezeka nyumba zao kwa masufuria, akisema
"mwanza kunapendeza lakinni kwanini mnafunika nyumba zenu na masufuria? ,Ingependeza kama mngeezeka nyumba zenu na mabati ya kijani".
Hii ni dharau kubwa sana kwa mtu mkubwa kama spika kutoa dharau kwa watu ambao kipato chao ni kidogo na ndiyo maana nyumba zao wameezeka na mabati ya sufuria. Kweli viingozi wetu wakipata uwezo mkubwa wa fedha wanasahau kabisa kwamba kuna wengine hawana uwezo kama wa kwao .
Ati yakutengenezea masufuria khani mabati gani hayo ...
Wagogo na wasukuma ni wataniHujui hata maana ya utani!!??
utatapika nyongo bure....
Watani zake hao unataka kuleta ujinga wa UFIPA humu.
Tek it easyMambo ya utani hayo na atajibiwa siyo muda mrefu.
Itoshe kusema mleta mada ni boya. Natanguliza samahani.
Kuna tone ya sauti kuashiria utani au vinginevyo. Unatakiwa kuyajua hayo.wagogo wote hawana akili
Simpendi job ila huo ni utani kwa watani zake
Hujui hata maana ya utani!!??
utatapika nyongo bure....
Tek it easy
Kwani wakazi wa Mwanza wote Wasukima?Mambo ya utani hayo na atajibiwa siyo muda mrefu.
mkuu upo sahihi huu upauaji wakusimamisha paa umetamalaki miaka hii ya karibuni ukiuliza kwawapauaji yaani mafundi utajibiwa usimamishaji wa paa unasaidia bati lisichoke haraka eti maji yamvua yakitua hayakaisasa unajiuliza kwani huo upauaji wamwanzo yana kaaje hayo maji au ndio mbwembwe zamafundi tuNi utani tu kama alivyotangulia kusema. Ila ukimsoma between the lines anajaribu kutuma ujumbe serious kwa kutumia utani. Kuna ujinga mwingi unaendelea kwenye sekta isiyo rasmi ya ujenzi wa nyumba za makazi. Ukiachilia aina ya mabati (mi sina shida sana na aina ya mabati, nyumba yangu mwenyewe nimejengea "masufuria" na najenga kajumba kengine nako nitapaulia hayo mabati wanayoita masufuria). Shida niliyo nayo ni hii style ta kunyanyua paa hadi mawinguni. Yaani style hii ya upauaji ni ya kishamba sana na inaharibu kweli kweli shoo ya nyumba na makazi. Hakuna hata sababu zozote za taaluma ya usanifu majengo kuweka paa za dizaini hiyo, ni madaha tu yasiyo na sababu zaidi ya kuongeza gharama.
Kwani wakazi wa Mwanza wote Wasukima?
wenyeji wa mwanza ni wasukuma.Kwani wakazi wa Mwanza wote Wasukima?
mkuu kwani walivyo paua kwama sufuria wanavujiwa pindi mvua zikinyeshaWewe unatetea nini? Last December nimepita kutoka Arusha mpaka Singida. Kufika Singida, nyumba ziko na mabati ya blue, kijani, kijivu, damu ya mzee nk.
Sasa uchumi wa Singida unauzidi wa Mwanza?
Wasukuma mjiongeze, Mwanza ina rasilimali na vitu vingi kuliko Singida, lkn watu wake wamejitahidi sana. Nyumba zao pale mjini ni shidaa. Utaipenda yani. Hivyo Mwanza hawana sababu ya kujitetea.