Ndugai amezidi kumsemea Magufuli, unaweza kudhani yeye ndiye msemaji na mteteaji wa Rais Magufuli!

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Hii tabia ya Ndugai kumsemea Magufuli kwa watu anaokuwa na bifu nao inakera sana. Mtu yeyote mwenye akili anaelewa wazi hii ni saikoloji Ndugai anatumia kuchochea moto kati ya Magufuli na watu ambao Ndugai ana tatizo nao, hasa baada ya kumjua Magufuli ana silka ya namna gani.

Ndugai anajipendekeza kwa Magufuli kitoto sana, huwezi kuamini mwanaume mwenye cheo cha heshima namna ile anaweza kufanya anayofanya.

Mfano ni pale alipokuwa na issue na CAG aliyepita Prof. Assad ambapo kila wakati alitoa matamko ya kumsema GAG dhidi ya raisi katika namna ya kumpandisha mori Magufuli dhidi ya Prof. Assad. Pia amefanya hivyo dhidi ya watu fulani ndani ya CCM ambao hapatani nao.

Na sasa yuko kwa Mbowe, yale yale ya wewe Mbowe raisi akishatamka usijifanye una mamlaka zaidi ya raisi, usijipime ubavu na raisi, nk. Toka lini Spika umekuwa msemaji au mteteaji rasmi wa raisi? Wenye akili tunajua Ndugai anachofanya hapa - kwamba hii ni saikoloji ya mtu dhaifu kumgonganisha mtu aliye na ugomvi naye dhidi ya mtu mwenye nguvu zaidi kwa faida yake mwenyewe.

Ndugai kama una tatizo na watu kabiliana nao bila ya kujifanya wewe unajua sana kumsemea na kumtetetea raisi dhidi yao. Siyo kazi ya Spika kumsemea na kumtetea raisi. Kazi zako za kuwa Spika wa Bunge zinakushinda sasa unaingilia madaraka yasiyo yako. Kama Mbowe kama mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani anakiuka utaratibu wa protokali dhidi ya kauli za Raisi wapo wanaostahili kushughulikia hilo, sio Spika.

Na kumbuka kwamba Mbowe kama mwenyekiti wa chama cha siasa kama alivyo Magufuli, ana wigo unaomruhusu kukosoa hadharani kauli za raisi - ndio maana ya siasa za upinzani ambazo wewe Ndugai unaonekana huzifahamu sawasawa.

Na tafadhali, tumia lugha ya kistaarabu unapoongelea viongozi ukiwa kama spika. Kuna maneno ambayo yanakuonyesha kuwa huna staha na unayatamka ukiwa na mavazi ya uspika. Inatia aibu. Kwa mfano, suala la mbunge fulani kuwa mtu wa ovyo, au hatarudi bungeni, ni fedhaha sana Spika kufikia kiwango cha chini kiasi hicho katika heshima ya kiti cha Spika. Ukisema mbunge fulani ni wa ovyo unatukana hata waliomchagua. Sasa spika huna uwezo wa kuona hilo?

Ulisamehewa kwa kumpiga mtu wa chama chako fimbo kichwani hadi akazimia kwa sababu tu za ushindani wa kisiasa. Ule ulikuwa ni utovu mkubwa na nidhamu kuliko wowote ambao Mbowe amewahi kuonyesha kwa raisi. Sasa jaribu kujiendesha kwa namna ambayo itawaonyesha wale waliokupa second chance kwamba hawakukosea.

Hata kama viongozi au wabunge wanakosea, wawe upinzani au chama chako, kuna namna ya nidhamu ya uspika inayotakiwa katika kushughulikia mambo kama hayo badala ya wewe kutumia nafasi hizo kujipendekeza kwa Magufuli. Hii ni pamoja na kutowasema kama watoto wadogo - mfano eti wanatangaza ugonjwa wa wabunge wanaokufa. Acha kuongozwa na hisia (emotions) unapokalia kiti cha spika.
 
Hii tabia ya Ndugai kumsemea Magufuli kwa watu anaokuwa na bifu nao inakera sana. Mtu yeyote mwenye akili anaelewa wazi hii ni saikoloji Ndugai anatumia kuchochea moto kati ya Magufuli na watu ambao Ndugai ana tatizo nao, hasa baada ya kumjua Magufuli ana silka ya namna gani.

Mfani ni pale alipokuwa na issue na CAG aliyepita Prof. Assad ambapo kila wakati alitoa matamko ya kumsema GAG dhidi ya raisi katika namna ya kumpandisha mori Magufuli dhidi ya Prof. Assad. Pia amefanya hivyo dhidi ya watu fulani ndani ya CCM ambao hapatani nao.

Na sasa yuko kwa Mbowe, yale yale ya wewe Mbowe raisi akishatamka usijifanye una mamlaka zaidi ya raisi, usijipime ubavu na raisi, nk. Toka lini Spika umekuwa msemaji au mteteaji rasmi wa raisi? Wenye akili tunajua Ndugai anachofanya hapa - kwamba hii ni saikoloji ya mtu dhaifu kumgonganisha mtu aliye na ugomvi naye dhidi ya mtu mwenye nguvu zaidi kwa faida yake mwenyewe.

Ndugai kama una tatizo na watu kabiliana nao bila ya kujifanya wewe unajua sana kumsemea na kumtetetea raisi dhidi yao. Siyo kazi ya Spika kumsemea na kumtetea raisi. Kazi zako za kuwa Spika wa Bunge zinakushinda sasa unaingilia madaraka yasiyo yako. Kama Mbowe kama mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani anakiuka utaratibu wa protokali dhidi ya kauli za Raisi wapo wanaostahili kushughulikia hilo, sio Spika.

Na kumbuka kwamba Mbowe kama mwenyekiti wa chama cha siasa kama alivyo Magufuli, ana wigo unaomruhusu kukosoa hadharani kauli za raisi - ndio maana ya siasa za upinzani ambazo wewe Ndugai unaonekana huzifahamu sawasawa.

Na tafadhali, tumia lugha ya kistaarabu unapoongelea viongozi ukiwa kama spika. Kuna maneno ambayo yanakuonyesha kuwa huna staha na unayatamka ukiwa na mavazi ya uspika. Inatia aibu. Kwa mfano, suala la mbunge fulani kuwa mtu wa ovyo, au hatarudi bungeni, ni fedhaha sana Spika kufikia kiwango cha chini kabisa katika heshima ya kiti cha Spika. Ukisema mbunge fulani ni wa ovyo unatukana hata waliomchagua. Sasa spika huna uwezo wa kuona hilo? Ulisamehewa kwa kumpiga mtu fimbo kichwani hadi akazimia, sasa jaribu kujiendesha kwa namna ambayo itawaonyesha wale waliokupa second chance kwamba hawakukosea. Acha kuongozwa na hisia (emotions) unapokalia kiti cha spika.
Mbowe amepungukiwa uzalendo na kwa sasa anaiga siasa za Zitto na hapo ndipo alipokiulia chama!
 
Ni laana kuwa na speaker kama Ndugu Yai. Yani mwanaume mzima unalitia aibu ya kikatiba Taifa lako bila sababu za msingi kisa upinzani. Nani alikwambia upinzani uadui? Bunge sio muhimili tena wagogo hawana historia ya ujasiri ila vibaraka tu ndio kazi wanaweza.
Unajua tatizo la Ndugai ni kwamba anajiona ana busara sana. NI aina ya watu ambao wanajiona wana hekima katika macho yao wenyewe.
 
Spika anatimiza majukumu yake Mkuu

Sema ushabiki na mihemuko ya kisiasa Ndio unawatia upofu vijana wachanga kisiasa
Nilikuomba unipe mbinu ya kuwa wa kwanza kuchangia, hukunipa! Maanake wewe, ni kama kuna ishara kwako, kila uzi ukibandikwa unajua, na hukosi cha kuandika!
 
Akili zikishahamia kwenye tumbo vigumu sana kuwa na busara.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Sidhani km Mimi ni wakwanza kuchangia Mkuu
Mimi nachangia kadiri nisomapo uzi km sina cha kuchangia sishiriki
Nilikuomba unipe mbinu ya kuwa wa kwanza kuchangia, hukunipa! Maanake wewe, ni kama kuna ishara kwako, kila uzi ukibandikwa unajua, na hukosi cha kuandika!
 
Spika anatimiza majukumu yake Mkuu

Sema ushabiki na mihemuko ya kisiasa Ndio unawatia upofu vijana wachanga kisiasa
Hewala Mkuu. Tunataka Spika atimize wajibu wake kwa busara zaidi, na ndio lengo la hii thread. Imefikia mahali Spika anakuwa kama PA wa raisi Magufuli sasa.
 
Ukimpima muenendo wake ni dhahiri shahiri kuna upendeleo binafsi anaoutafuta kutoka huko ingawa njia aliyoitumia si njema hata kidogo. Spika amekuwa mbaguzi wa kiwango cha kutisha sana

Nina imani hatarudi
 
Hii tabia ya Ndugai kumsemea Magufuli kwa watu anaokuwa na bifu nao inakera sana. Mtu yeyote mwenye akili anaelewa wazi hii ni saikoloji Ndugai anatumia kuchochea moto kati ya Magufuli na watu ambao Ndugai ana tatizo nao, hasa baada ya kumjua Magufuli ana silka ya namna gani.

Mfano ni pale alipokuwa na issue na CAG aliyepita Prof. Assad ambapo kila wakati alitoa matamko ya kumsema GAG dhidi ya raisi katika namna ya kumpandisha mori Magufuli dhidi ya Prof. Assad. Pia amefanya hivyo dhidi ya watu fulani ndani ya CCM ambao hapatani nao.

Na sasa yuko kwa Mbowe, yale yale ya wewe Mbowe raisi akishatamka usijifanye una mamlaka zaidi ya raisi, usijipime ubavu na raisi, nk. Toka lini Spika umekuwa msemaji au mteteaji rasmi wa raisi? Wenye akili tunajua Ndugai anachofanya hapa - kwamba hii ni saikoloji ya mtu dhaifu kumgonganisha mtu aliye na ugomvi naye dhidi ya mtu mwenye nguvu zaidi kwa faida yake mwenyewe.

Ndugai kama una tatizo na watu kabiliana nao bila ya kujifanya wewe unajua sana kumsemea na kumtetetea raisi dhidi yao. Siyo kazi ya Spika kumsemea na kumtetea raisi. Kazi zako za kuwa Spika wa Bunge zinakushinda sasa unaingilia madaraka yasiyo yako. Kama Mbowe kama mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani anakiuka utaratibu wa protokali dhidi ya kauli za Raisi wapo wanaostahili kushughulikia hilo, sio Spika.

Na kumbuka kwamba Mbowe kama mwenyekiti wa chama cha siasa kama alivyo Magufuli, ana wigo unaomruhusu kukosoa hadharani kauli za raisi - ndio maana ya siasa za upinzani ambazo wewe Ndugai unaonekana huzifahamu sawasawa.

Na tafadhali, tumia lugha ya kistaarabu unapoongelea viongozi ukiwa kama spika. Kuna maneno ambayo yanakuonyesha kuwa huna staha na unayatamka ukiwa na mavazi ya uspika. Inatia aibu. Kwa mfano, suala la mbunge fulani kuwa mtu wa ovyo, au hatarudi bungeni, ni fedhaha sana Spika kufikia kiwango cha chini kiasi hicho katika heshima ya kiti cha Spika. Ukisema mbunge fulani ni wa ovyo unatukana hata waliomchagua. Sasa spika huna uwezo wa kuona hilo?

Ulisamehewa kwa kumpiga mtu wa chama chako fimbo kichwani hadi akazimia kwa sababu tu za ushindani wa kisiasa. Ule ulikuwa ni utovu mkubwa na nidhamu kuliko wowote ambao Mbowe amewahi kuonyesha kwa raisi. Sasa jaribu kujiendesha kwa namna ambayo itawaonyesha wale waliokupa second chance kwamba hawakukosea.

Hata kama viongozi au wabunge wanakosea, wawe upinzani au chama chako, kuna namna ya nidhamu ya uspika inayotakiwa katika kushughulikia mambo kama hayo badala ya wewe kutumia nafasi hizo kujipendekeza kwa Magufuli. Hii ni pamoja na kutowasema kama watoto wadogo - mfano eti wanatangaza ugonjwa wa wabunge wanaokufa. Acha kuongozwa na hisia (emotions) unapokalia kiti cha spika.
Mbowe ni mbunge anaenda kumaliza muda wake. Na spika ndio kiongozi wa wabunge wote. Lazima amkemee kama anakosea. Si anayonafasi ya kutoa dukuduku lake Bungeni. Soma ibara ya 84(1) ya JMT, ujue spika ni nani. Acha kupayuja hovyo.
 
Ndugai anataka huruma ya magufuli sana kwa ajili ya uspika lakini anatakiwa kufahamu kuwa uspika piga ua ni wa Tulia.
Ndugai anajua wazi kuwa hawezi hata chembe kusimama na Mbowe ktk ku-argue vitu hata kidogo ndio maana anakimbizana kumuunganisha huko Raisi ili apate ahueni!
Ndugui amekosa weledi na hekima kusimamia Bunge na ndio maana limekuwa la mipasho na uswahili mno!
 
Back
Top Bottom