Ndugai afichua siri ya CHADEMA

Ndugai afichua siri ya CHADEMA

MJIMPYA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
506
Reaction score
273
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba.

CHADEMA wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi.

Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
 
...katika hoja zoote za msingi na mustakabali wa mchi miaka mia ijayo,kwa kifupi tunatengeneza tanzania ya kesho. Yeye ndo hilo la msingi kaliona..?! Bila aibu anakuja mbele ya wanaume,wanawake na watoto kutueleza sababu za u.puuzi aliofanya,hicho ndo kimemsukuma...? Naogopa kuona moja ya muhimili muhimu wa dola unaongozwa na mtu mwenye mawazo ya waimba mipasho,naisikitikia nchi yangu...
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...

Nyie andikeni porojo tu! Sisi kibano chetu ni kwa Mwenyekiti wenu. Mdanganyeni kadiri mnavyo weza na hasa mnapo jifungia ndani pale Dodoma.

Mwisho wa siku anajua ISANGA atakwenda peke yake. Bahati nzuri ameshaling'amua hilo. Na ndio maana anapiga kelele kuhusu ICC maana anajua ni MTEJA MTARAJIWA.
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

Yeye hajiwezi aongozwe kwa simu, atajuaje ya wengine!Toka lini asojua kusoma akafundisha?
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
MJIMPYA kwenye Bunge la katiba kuna upanda wa upinzani na upande wa chama tawala?.......hapa umechemka
 
Last edited by a moderator:
Hii nayo ni hatari nyingine, Ndugai amekuwa mfalme njozi anayeweza kujua mawazo waliyonayo CDM, kweli tuna safari ndefu!!
 
JK ameshasema hawezi kusaini muswada,urudishwe bungeni hayo mengine ni mbwembwe tu na maneno ya mfa maji! Hongera rais kwa kuwasikiliza wapinzani!
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

Mmmh!! Nahisi huu ni upotoshaji na uwongo wa wazi kabisa kutoka kwa Bw. Ndugai.

Hebu atuambie ni vipengele vipi vya Sheria ya Mabadiliko ya Katib vinazungumza uwepo wa kambi za vyama vy siasa bungeni wakati wa bunge maalum la Katiba?

Nooo, this is bullshit...utaratibu wa kuendesha bunge la katiba utakuwa chini ya sheria niliyotaja hapo juu na wala sio kanuni za bunge za sasa ambazo zinatambua uwepo wa kambi ya upinzani.

I stand to be corrected upon proof.
 
Kwa hiyo Ndugai anathibitisha tetesi za watu fulani kuwa, CCM inaona wivu pale CUF inapoungana na CDM, kwa sababu CUF kwa bunge la sasa na la katiba ndiye power broker. Kwamba popote CUF atakapoelekea wanakuwa na unafuu.

Mimi naomba nimwelimishe Ndugai kwamba, kwa hili linaloendelea ni bora tuseme Chadema imejiunga na CUF kuliko kusema CUF imejiunga na Chadema. Huu kama ndiyo ukweli, CCM ndiyo inayohofia muziki katika bunge la katiba kwa muungano huu.

CCM waache kulia wivu wa kiume.
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!

Hivi kwenye bunge la katiba kuna vya upinzani na tawala tena?!!! Maana vile nijuavyo litakuwa bunge neutral (literally), ambalo zaidi ya wabunge hawa wa kupitia vyama, kutakuwa pia na wajumbe watakaokuwa wameteuliwa kuwakilisha taasisi mbali mbali ambazo hazihusiani na vyama...

Hivi ni kwa nini akina ndugai na w. malecela wanauweka huu mchakato wa katiba ki-ccm vs CDM, wakati katiba itakuwepo hata kama hivyo vyama vita-expire?!!!
 
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
ujinga m2pu
 
Back
Top Bottom