Ndoto ya Tanzania kuwa donor country imefikia wapi?

We actually have all those u have mentioned but mind you my friend, the whites are the one who control market technology and even capital. Their the one who decide what we should get in whatever we trade
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, vitu hivi ndivyo hasa vya kuambiana ukweli ili watanzania wavijue badala ya kuvificha na kutoa ahadi tuuuuu..... Tukae tujadiliane kwa pamoja kama taifa na tutende kama wale wenzetu wa Uarabuni, Singapore, Malaysia, Cape Verde, Thai, Uturuki, Uchina, n.k wamefanya nini na rasilimali zao hadi wakafika pale walipo pamoja na kuwepo kwa ukoloni mamboleo na utandawazi. Na huu usiwe mkakati wa mtu mmoja chama kimoja au miaka 10 tu bali tulione taifa kwa pamoja miaka 100 ijayo. Hii habari ya kuwaona watu walioko vyama vingine kama watu wa nchi nyingine inawafurahisha mno wakoloni mamboleo sio sisi kama taifa.
 
Tanzania ina vyanzo vingi vya mapato ambavyo hata Mh. Rais wetu akalidhika navyo kuwa atavitumia kuifanya Tanzania kuwa donor country na sio kuwa ombaomba tena. Ndoto hii ikoje utekelezaji wake hadi sasa?
Hivi ndoto zako ulizokuwa nazo ulizitekeleza baada ya muda gani?
 
Hivi ndoto zako ulizokuwa nazo ulizitekeleza baada ya muda gani?
nilivyokuwa mdogo nilikuwa na ndoto ya kusoma hadi chuo kikuu na ndoto hiyo ilikamilika kidogokidogo kwa awamu, std 7, form 4, form 6, undergraduate,...... Hata vision huwa inafikiwa kwa awamu. Hata kuwa nchi kufikia kiwango cha kutoa misaada kwa nchi nyingine nako kuna stages zake, sasa hivi tuko stage gani?
 
Tanzania ina vyanzo vingi vya mapato ambavyo hata Mh. Rais wetu akalidhika navyo kuwa atavitumia kuifanya Tanzania kuwa donor country na sio kuwa ombaomba tena. Ndoto hii ikoje utekelezaji wake hadi sasa?
Nimefurai mleta mada ameihita ndoto. Izo ndo zinaitwa ndoto za alinacha
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, vitu hivi ndivyo hasa vya kuambiana ukweli ili watanzania wavijue badala ya kuvificha na kutoa ahadi tuuuuu..... Tukae tujadiliane kwa pamoja kama taifa na tutende kama wale wenzetu wa Uarabuni, Singapore, Malaysia, Cape Verde, Thai, Uturuki, Uchina, n.k wamefanya nini na rasilimali zao hadi wakafika pale walipo pamoja na kuwepo kwa ukoloni mamboleo na utandawazi. Na huu usiwe mkakati wa mtu mmoja chama kimoja au miaka 10 tu bali tulione taifa kwa pamoja miaka 100 ijayo. Hii habari ya kuwaona watu walioko vyama vingine kama watu wa nchi nyingine inawafurahisha mno wakoloni mamboleo sio sisi kama taifa.
Asee hayo ndo maneno nakupa like.
"TZ itaipita dubai ikifika 2020" maneno ya kibongolala.
 
nilivyokuwa mdogo nilikuwa na ndoto ya kusoma hadi chuo kikuu na ndoto hiyo ilikamilika kidogokidogo kwa awamu, std 7, form 4, form 6, undergraduate,...... Hata vision huwa inafikiwa kwa awamu. Hata kuwa nchi kufikia kiwango cha kutoa misaada kwa nchi nyingine nako kuna stages zake, sasa hivi tuko stage gani?
Kama hujui hiyo ndoto imeanza lini ni wazi huwezi kujua tumefukia stage gani, hivyo huna Budi kuendelea kuota
 
Tanzania ina vyanzo vingi vya mapato ambavyo hata Mh. Rais wetu akalidhika navyo kuwa atavitumia kuifanya Tanzania kuwa donor country na sio kuwa ombaomba tena. Ndoto hii ikoje utekelezaji wake hadi sasa?
Tumeanza na kumpa msaada Zuma kwa ajiri ya nchi yake , fuatilia vizuri .

Wiki ijayo tutaanza kusambaza vitenge vya KTM Mbagala nchini indonesia , Mitumba marufuku , hadi desemba nchi hii haitakuwa na mtumba hata mmoja.

Awamu ya tano haitaki mchezo !
 
Back
Top Bottom