Hii Mkuu ni kali sana! Sasa itakuwaje maana mijamaa ya libya inajua namna ya kufanya kwa waliodhulumiwa!
Tujadili nini? Wewe unamtetea Membe ulikuwa ukidhani ni Mungu Mtu sasa umebaini kumbe yeye ana yake Mabaya unaanza kuchachawa nani mlevi ? Wewe unayemtetea membe ndiyo uache Ulevi kumbuka mjadala umeanza hivyo kila mwenye yake analeta hapa.
Hana tofauti na kaka yake mkubwa aliyeahidi maisha bora kwa kila Mtanzania wakati wa kugombea 2005. Yaani haya matatizo yanayowakabili Watanzania haya maCCM yanayaona tu uchaguzi unapokaribia?"Kuona wakulima wa Tanzania wanapata soko la uhakika la mazao yao na wanawezeshwa kushiriki kwenye shughuli nyingine za kujipatia kipato; vijana wanapatiwa elimu bora katika ngazi zote itayowapa ujuzi wa kuajiriwa na kujiajiri wenyewe; sekta binafsi inawezeshwa ipasavyo kwa kupunguza vikwazo na kuboresha miundombinu ili ichangie kwenye pato la taifa ipasavyo; na mwisho, huduma bora ya afya inatolewa bila malipo kwa wajawazito, watoto na wazee"
"Kuona wakulima wa Tanzania wanapata soko la uhakika la mazao yao na wanawezeshwa kushiriki kwenye shughuli nyingine za kujipatia kipato; vijana wanapatiwa elimu bora katika ngazi zote itayowapa ujuzi wa kuajiriwa na kujiajiri wenyewe; sekta binafsi inawezeshwa ipasavyo kwa kupunguza vikwazo na kuboresha miundombinu ili ichangie kwenye pato la taifa ipasavyo; na mwisho, huduma bora ya afya inatolewa bila malipo kwa wajawazito, watoto na wazee"
jibu hoja, sio jazba
Membe hachoki kufanya Fitna sasa kaja na Staili mpya ya Kuwachonganisha Lowasa na Pinda kisha yeye anakaa mbali na kuchungulia picha linavyokwenda baadae ananunua njia za kuelekea ikulu kwa kutumia zile pesa za marehemu Gadafi.Kama kuna watu waliompotosha rais wa JMT mmoja wao ni Benard Camillius Membe. Ni mtu mwenye Jazba na fitina, tabia zote za kiswahili anazihodhi yeye. Katika wagombea wote yeye ni dhaifu sana na Pinda ndiyo kiboko yake. Tangu Punda aingie kwenye kinyangiro kundi lake limedhoofu sana.
Membe hachoki kufanya Fitna sasa kaja na Staili mpya ya Kuwachonganisha Lowasa na Pinda kisha yeye anakaa mbali na kuchungulia picha linavyokwenda baadae ananunua njia za kuelekea ikulu kwa kutumia zile pesa za marehemu Gadafi.Kama kuna watu waliompotosha rais wa JMT mmoja wao ni Benard Camillius Membe. Ni mtu mwenye Jazba na fitina, tabia zote za kiswahili anazihodhi yeye. Katika wagombea wote yeye ni dhaifu sana na Pinda ndiyo kiboko yake. Tangu Punda aingie kwenye kinyangiro kundi lake limedhoofu sana.
Hivi Membe anagombea nini Urais au ujumbe serikali za mtaa, mbona hasomeki kwenye tafiti za TWAWEZA?
Mkuu funza, hata kwa hiyo njia Membe kuuzika ngumu sana, kwa ufupi Membe hatakiwi na wananchiMembe hachoki kufanya Fitna sasa kaja na Staili mpya ya Kuwachonganisha Lowasa na Pinda kisha yeye anakaa mbali na kuchungulia picha linavyokwenda baadae ananunua njia za kuelekea ikulu kwa kutumia zile pesa za marehemu Gadafi.