Ndoto ya Mauti ya Rafiki Yangu

Ndoto ya Mauti ya Rafiki Yangu

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,856
Reaction score
4,085
Maboss kwema umu?

Aya mandoto bhaana miyeyusho kweli jana usiku nimeshituka mida mibovu balaa baada ya lindoto la kutisha nimeota rafiki yangu wa kike ambaye tulikuwa tunapiga naye job wilaya fulani za mikataba endelevu kisha akaacha na kusepa ,nimeota bhana eti hakuondoka salama ni kama aliondoka ameacha bifu na mademu fulani ambao nao tulikuwa tunapiga nao kazi, sasa isssue imekuja baada ya kurudi iyo wilaya kutembea akakumbana na tukio la kushambuliwa vibaya kichwani kwa nyuma iliyopelekea jeraha kubwa ambapo alijifunika na ndoo hadi aliponifikia mimi akafunua ndoo kunionyesha kisha hali ikabadilika na kwenye kupambana kuita daktari akanifia mikononi mwangu

Nilistuka usiku baada ya iyo ndoto na kupiga maombi ya kukemea ayo maroho ya mauti ,nilitaka kumcheck kumsimulia iyo ndoto mbaya ila naona nipotezee tu asije sema nampanga na naona ni ndoto tu haina shida au waungwana mnasemaje ?si niipotezee tu?
 
Maboss kwema umu?

Aya mandoto bhaana miyeyusho kweli jana usiku nimeshituka mida mibovu balaa baada ya lindoto la kutisha nimeota rafiki yangu wa kike ambaye tulikuwa tunapiga naye job wilaya fulani za mikataba endelevu kisha akaacha na kusepa ,nimeota bhana eti hakuondoka salama ni kama aliondoka ameacha bifu na mademu fulani ambao nao tulikuwa tunapiga nao kazi, sasa isssue imekuja baada ya kurudi iyo wilaya kutembea akakumbana na tukio la kushambuliwa vibaya kichwani kwa nyuma iliyopelekea jeraha kubwa ambapo alijifunika na ndoo hadi aliponifikia mimi akafunua ndoo kunionyesha kisha hali ikabadilika na kwenye kupambana kuita daktari akanifia mikononi mwangu

Nilistuka usiku baada ya iyo ndoto na kupiga maombi ya kukemea ayo maroho ya mauti ,nilitaka kumcheck kumsimulia iyo ndoto mbaya ila naona nipotezee tu asije sema nampanga na naona ni ndoto tu haina shida au waungwana mnasemaje ?si niipotezee tu?
Kabla ya kulala,piga SMART-GIN kama vichupa viwili hivi,"UTANIKUMBUKA",,,,,,,,,,,yaani wewe ukiingia tu kwenye neti,,inakuwa kama umepanda SGR!!!!,,,,,,,,faster asubui hii hapa!!!
 
Maboss kwema umu?

Aya mandoto bhaana miyeyusho kweli jana usiku nimeshituka mida mibovu balaa baada ya lindoto la kutisha nimeota rafiki yangu wa kike ambaye tulikuwa tunapiga naye job wilaya fulani za mikataba endelevu kisha akaacha na kusepa ,nimeota bhana eti hakuondoka salama ni kama aliondoka ameacha bifu na mademu fulani ambao nao tulikuwa tunapiga nao kazi, sasa isssue imekuja baada ya kurudi iyo wilaya kutembea akakumbana na tukio ala kushambuliwa vibaya kichwani kwa nyuma iliyopelekea jeraha kubwa ambapo alijifunika na ndoo hadi aliponifikia mimi akafunua ndoo kunionyesha kisha hali ikabadilika na kwenye kupambana kuita daktari akanifia mikononi mwangu

Nilistuka usiku baada ya iyo ndoto na kupiga maombi ya kukemea ayo maroho ya mauti ,nilitaka kumcheck kumsimulia iyo ndoto mbaya ila naona nipotezee tu asije sema nampanga na naona ni ndoto tu haina shida au waungwana mnasemaje ?si niipotezee tu?
Amka funga omba.Mungu amekutumia uchukue maamuzi.Ukiaach kubebe huo mzigo wa maomi maana yake umepuuza sauti ya MUNGU.hii kitu imewahi nitokea nashukuru MUNGU katika kumuomba aliepusha ilikuwa ajali badala kuwa mauti ikawa ajali ya kawaida mno
 
Back
Top Bottom