Ndoa za wanawake waliopitia jando hudum zaidi

Ndoa za wanawake waliopitia jando hudum zaidi

dokolombwike

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
373
Reaction score
623
Je ni kweli wanawake waliopitia jando,wanaweza sana mapenzi kuliko wale ambao hawajapitia,pia na ndoa zao hudum zaidi, naomba tubadilishane mawazo hapa, hasa tupata ushuhuda kwa wale waliooa haya makabila ambayo bado wanapitia huko kama vile wamakonde,wamakua na mengine,karibuni
 
Jando kwa mwanamke ndio nini???? Ni kukeketwa au Unamaanisha kufundwa
Je ni kweli wanawake waliopitia jando,wanaweza sana mapenzi kuliko wale ambao hawajapitia,pia na ndoa zao hudum zaidi, naomba tubadilishane mawazo hapa, hasa tupata ushuhuda kwa wale waliooa haya makabila ambayo bado wanapitia huko kama vile wamakonde,wamakua na mengine,karibuni
 
Jando ni kwa wanaume, tunaenda kutahiriwa na kupewa mafunzo...

Jando kwa wanawake zimepigwa marufuku, kukeketa mwanamke ni marufuku...

Nadhani wao wanapitia unyagoni kama sijakosea...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom