Ndoa za vijana wa kisasa

Ndoa za vijana wa kisasa

Jese Pinkman

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
661
Reaction score
338
Vijana wa sikuizi wanaanza "honey moon" kwanza ndo kanisani kufunga ndoa aka kamchezo kamezidi mpaka imetokea wadada 6 wanafunga ndoa church afu wote wana mimba. kwa lugha ya kisasa ukipata mimba ndo unaolewa yani 'PMU' Pata Mimba Uolewe,we mbanie mwenzako utakua ivyo ivyo na uchumba sugu wa miaka 10
 
Vijana wamechoka kuoa "tasa" coz wadada wanafanya abortions sana siku hizi. Wana shake well, then wanakumimba ili kupata uhakika..wengine wanaolewa hata vizazi hawana tena!!!
 
Hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Ni kweli kabisa vijana wengi sasa especially kwenye makanisa yetu wengi wanaoana wakiwa na mimba. Kinachonishangaza kanisa pia limeamua kuchukulia poa sijui imani hii inakwenda wapi?
 
What is the alternative? Mtu Akiwa na mimba kabla ya ndoa itolewe Ili ndoa ifungwe?
 
Ni kweli kabisa vijana wengi sasa especially kwenye makanisa yetu wengi wanaoana wakiwa na mimba. Kinachonishangaza kanisa pia limeamua kuchukulia poa sijui imani hii inakwenda wapi?[/QU Wanachoangalia wao ni kwamba wamepata waumini wa kudumu tu baaasi,hayo mengine wanayafumbia macho kwa kuhofia kuwakwaza waumini si unajua tena mambo ya profit maximization!
 
Hata kanisani siku hz lazima wakuulize mmefahamiana vya kutosha? Ikiwemo uwezo wa kuweka na kupokea mimba
 
Vijana wamechoka kuoa "tasa" coz wadada wanafanya abortions sana siku hizi. Wana shake well, then wanakumimba ili kupata uhakika..wengine wanaolewa hata vizazi hawana tena!!!
Wamechoka au kabla ya kuoa huwapa girlfriends zao mimba na kuwalazimisha wazitoe. Kwahiyo wanapata uoga kwa kuwa they've been there already participating abortion. Mungu akisaidie hiki kizazi.
Daktari na nurse anataka hela , vijana nao wazinzi basi tabu tupu.
 
Lazima uhakiki kwanza maana kuna wengine wametoa mimba 50,na kizazi hakimo sasa atabebea mimba kwenye mfuko wa chakula?
 
Hata mimi naona hiyo ndio njia kuuu......mimba then ndoa.
 
Na wanaume nao tasa siku hizi. Mbegu zote za krimu kasambaza kwa maex wake 20, unaolewa unaambulia mapovu tu. Mimba itatoka wapi na ubachela wa sinza, unakula chipsi yai unagonga mtaa mzima, na ofisi nzima, na mahausigelo na mabaa medi wa mtaa mzima?
Vijana wamechoka kuoa "tasa" coz wadada wanafanya abortions sana siku hizi. Wana shake well, then wanakumimba ili kupata uhakika..wengine wanaolewa hata vizazi hawana tena!!![/Q
 
Back
Top Bottom