hahahah!shemeji waeleze hao.hivi hawa ni wanawake wa wapi wasiojua na hili?
Mpwa unaanza kuniharibia move.
Sijui akifua kufuli ya mzee anaona amepungukiwa na nini? Sijajua wanatokea pande gani za Tanzania wasiko fua kufuli za waume zao bila shaka wakimbizi wa Congo hawa.
Nani aliyekudanganya Miafrika inabadilika?
Toka tupate uhuru unacho cha kujivunia kuwa eti Tanzania nayo inasonga mbele? Yeah naweza kusema inasonga mbele na tumebadilika siku hizi tunajiexpress hayo mabadiliko. We vp umewahi kujiexpress? Kama bado basi wewe upo nyuma ndugu yangu.
Yaani ni hivi huyo mpwa wako tayari ameshaharibu kabisa,pole umejaribu kupotezea wakati mpwa wako alishaharibu.
Mbona we hufui ya mkeoKwani kufua kufuli ya mmeo ni kosa? Huu ndo wajibu wa mwanamke au mnafikiri wajibu wenu ni kwenye chakula cha usiku tu?
Hapa kuji express no kabisa!
Kweli kabisa Nyamayao ikifika hapo sasa huyo mama atakuwa amejisahau kwa kiasi kikubwa sana,itabidi atafutiwe washauri waanze kumpa somo tena kwa upya kuhusu ndoa.
Mbona we hufui ya mkeo
hahahah!shemeji waeleze hao.hivi hawa ni wanawake wa wapi wasiojua na hili?
wao wasipofua WAPO WENZAO WANAFUA KILA SIKU
Kwani wajibu wa kufanya usafi ndani ya nyumba ni wa nani? Mwanamke ni pambo la nyumba ukinuna watu watakuwa hawafiki kwako kukutembelea mwanamke ni usafi moja wapo kufuli ya mmeo sio mmeo anavaa kufuli wiki nzima wewe unaona sawa tu akifika ofc inatema harufu
Kwani wajibu wa kufanya usafi ndani ya nyumba ni wa nani? Mwanamke ni pambo la nyumba ukinuna watu watakuwa hawafiki kwako kukutembelea mwanamke ni usafi moja wapo kufuli ya mmeo sio mmeo anavaa kufuli wiki nzima wewe unaona sawa tu akifika ofc inatema harufu
I hate this mentality kwamba mume afanyiwe, mume afanyiwe, halafu mbaya zaidi ni sis wanawake ndo tunapreach huu ujinga, sisemi kwamba maid hatakiwi kusaidiwa kazi no, nachosema hata baba asaidie kazi inapobidi. na kwa taarifa yako pretty, hawa viumbe waitwao wanaume wakitaka kulala na maids, barmaids, vichaa hata mama yako au sister wako, wanafanya tu, tena bila kujali kwamba huwa una amka saa kumi kumchemshia maji , kumtayarishia breakfast na kumnyosheea nguo. so i would advise you to find another way of thinking na siyo eti nikimfanyia kila kitu ndo hatatembea na housemaid.
kwani mi mamake? jitu likiwa chafu ni chafu tu, hata aibu eti uvae kufuli wiki nzima kisa mkeo hakufulii, kwani we kilema!Kwani wajibu wa kufanya usafi ndani ya nyumba ni wa nani? Mwanamke ni pambo la nyumba ukinuna watu watakuwa hawafiki kwako kukutembelea mwanamke ni usafi moja wapo kufuli ya mmeo sio mmeo anavaa kufuli wiki nzima wewe unaona sawa tu akifika ofc inatema harufu
kwani mi mamake? jitu likiwa chafu ni chafu tu, hata aibu eti uvae kufuli wiki nzima kisa mkeo hakufulii, kwani we kilema!
This is what i am talking about.naomba nichomekee ishu hapo, ma best frnd yalimkuta hayo, katoka kujifungua jana lakini leo anamuwajibikia mumewe kama kawaida, maid afanyi lolote kuhusiana na mume wake ndivyo alivyokuwa ameshamzoesha, yule baba alitembea maid mpaka mimba bila mama kujua lolote, cku hiyo mama akamshtukia binti kwamba mjamzito, binti kakanusha, wamekaa kdgo binti akaomba ruhusa kwenda kwao kusalimia atarudi baada ya muda, mama kamruhusu, kumbe baba alimpeleka binti kwa frnd wake akakae huko kidogo ili amtoe ile mimba, mumgu c athumnani wapo marie stopes me na ma frnd tunaingia tunampeleka mwanae alipata kahoma tunawakuta wapo hapo, mama pressure juu ndio ikajulikana baba alimleta pale amchomoe hiyo mimba, palikuwa hapatoshi pale...li mwanaume linapatiwa/fanyiwa kila kitu na mkewe lakini mambo ndio kama haya....anaowatetea hawa viumbe labda hayajamkuta, yakimkuta atakaa kimya.........
Siwezi kubadili kwa kuwa uzoefu wangu unaonyesha NACHOKIFANYA WIFE ANAKIFAGILIA KICHIZI. Hakuna serengeti boy anayeweza kuingia anga za Chrispin, wenyewe wanaujua mziki wangu.
Mtakoma, ndo mjifunze na nyie kutake care of home affairs.Ukweli ndoa za siku hizi kazi kweli kweli na sisi kina baba tunaofanya kazi na wake zetu pia wanafanya kazi ,economically we are enjoying ,lakini the other side socially tunawakosa wake zetu , kuanzia asubuhi dada anaandaa mtoto aende shule , amuogeshe ,amlishe ,amvalishe na ampandishe garini, mama bado yuko ndani anajiremba , baba na watoto wako tayari kuondoka anamsubiri mama , akitoka huko malalamiko yanaanza nimechelewe saana baba nanii jitahidi niwahi jamani(so selfish) wakati yeye hajagusa kitu and ontop of that ametuchelewesha ,ukiwa mkali siku hiyo ananuna na akirudi nyumbani ni kulalamika tu nimechoka saana , lakini wakati mwingine njiani wakati wa kurudi unamuuliza siku yako ilikuwaje leo? anasema sio busy saana na akifika home bado amechoka saana ,ataangalia tv na kuuliza watoto wamekula na kulala ,kweli kabisa kuna shida kubwa kwa wake zetu .