Ndoa za siku hizi


We bana achana na maisha ya kizungu wewe ni Mwafrika mweusi wa Kibongo unataka uishi maisha ya kizungu ya nini bana? Inajulikana wazi Kiafrika kazi za mama ni zipi na kazi za baba ni zipi naona unamix uzungu hapa eti kazi kusaidiana weeeee ungekuwa mke wangu nakupiga talaka 5 kwenue na rambo kwenye nguo hakuna kubeba begi yaani mm nikusaidie kufua? Nikusaidie kuosha vyombo? Nikusaidie kupiga deki khaaaaa! weeeee ahaaaa unasapeshwa fasta ukamtafute Bushoke.
Hivi fikiria umemtembelea kaka ako ukafika pale ukaona kaka ako anaosha vyombo wifi yako yupo kwenye kochi anaangalia Luninga alafu anamwambia ukimaliza vyombo dear alafu udeki nyumba nzima mm nimechoka utajisikiaje? Sio mnasema tu.
 

Ntake radhi ZD, sincerely. Sijawahi wale sitegemei kuwadanganya makomredi wenzangu. Nakupa masaa 24 vinginevyo tutakutana court of law.
 
Ntake radhi ZD, sincerely. Sijawahi wale sitegemei kuwadanganya makomredi wenzangu. Nakupa masaa 24 vinginevyo tutakutana court of law.

Hahahaha mpwa msamehe au kwa vile alikunyima nanihino hahahahaha
 

Need we say more? Manake bi dada umesema yote.

Kana kwamba hayo yote hayatoshi, basi hata appreciation hakuna!
 
I am better than my wife. Huwa analia sana wakati wa kumegana, afu anamalizia kwa kushukuru: Thanks Chris, you are everything to me!. You are so sweet. Hahahaha!

Mbaya zaidi ni pale unapokuta anakuibia,God forbid! Au kama ana serengeti boy naye anaambiwa hivyohivyo na wewe unakuja hapa kubrag cheza na wanawake wewe! we are very good actresses sometimes fyi
 
Mbaya zaidi ni pale unapokuta anakuibia,God forbid! Au kama ana serengeti boy naye anaambiwa hivyohivyo na wewe unakuja hapa kubrag cheza na wanawake wewe! we are very good actresses sometimes fyi

Basi acheni wivu tunavyowamega mabaamedi na mahausigeli. Mbona mnalalamika kila siku? Angalia idadi ya thread humu jamvini, kila siku ni vilio vya wanawake wanalalamikia wanaume wakiongozwa na MJ1... Amkeni kina mama.
 
Basi acheni wivu tunavyowamega mabaamedi na mahausigeli. Mbona mnalalamika kila siku? Angalia idadi ya thread humu jamvini, kila siku ni vilio vya wanawake wanalalamikia wanaume wakiongozwa na MJ1... Amkeni kina mama.

Nataka M-date MJ1, niko serious, inaelekea huyo mmama hajapata penzi la maana...hebu fanya mambo Chriss!
 
naona shemasi chrispini ndani ya nyumba!thread zako hizi mazee!
TUMSIFU YESU KRISTU?!............
 

Ndio mambo nayokataa haya, kwenye mabo ya kutumikisha wake zenu mnasema ni uzungu, ila mabo mengine yoote mnayofanya si uzungu.Lazima mkubali kwamba dunia imechange na si kama zamani, kama mnafagilia uafrika inapokuwa ni advantage kwenu na mnumwaga kama ni disadvantage kwenu, hiyo ni selfishness, nothing more. Mbona hakuna hata mwanaume mmoja humu ambaye anataka kuoa goalkeeper? si maisha ya mwafrika mama hukaa nyumbani na kuzaa watoto na kuwatunza, sasa mbona hamtaki wanawake ambao hawajaenda shule, au hata darasa la saba, mnapenda kusema 'nataka mwanamke ambaye angalau amemaliza form six au chuo' acheni unafiki.
Na aliyesema kusaidiana kazi ni uzungu ni nani? nachojua mimi ni ubinadamu na siyo uzungu.
Na hapo kwenye red, inategemeana sana type ya mke uliyemuoa, mimi hawezi kunifukuza mtu na tena siyo kwa kubeba rambo ndugu yangu, dont underestimate women, unaweza kushangaa wewe ndo umebeba rambo, ila ntakuhurumia ntakupa hata begi ukaanzie maisha. Halafu Fidel unaongea mambo ya kizamani saaana, hii dunia inasonga mbele hairudi nyuma ndugu yangu. mke alivyokuwa anatendewa miaka ile si sasa, just accept it.
 
Nataka M-date MJ1, niko serious, inaelekea huyo mmama hajapata penzi la maana...hebu fanya mambo Chriss!

Mchungaji nashukuru kwa baraka zako. Nakuhakikishia atatunga mashairi ya mapenzi humu ndani. Ngoja nimPM.
 


mhh jamani, akufulie mpaka chupi na boxers...huyu mamam atakuwa hajitambui kabisa.
 
naona shemasi chrispini ndani ya nyumba!thread zako hizi mazee!
TUMSIFU YESU KRISTU?!............

Milele amina Katekista. Zinaendana na mimi hizi thread, kama wewe na avatar yako mnavyoendana. Hahaha!
 
Halafu Fidel unaongea mambo ya kizamani saaana, hii dunia inasonga mbele hairudi nyuma ndugu yangu. mke alivyokuwa anatendewa miaka ile si sasa, just accept it.

Nani aliyekudanganya Miafrika inabadilika?
Toka tupate uhuru unacho cha kujivunia kuwa eti Tanzania nayo inasonga mbele? Yeah naweza kusema inasonga mbele na tumebadilika siku hizi tunajiexpress hayo mabadiliko. We vp umewahi kujiexpress? Kama bado basi wewe upo nyuma ndugu yangu.
 
Milele amina Katekista. Zinaendana na mimi hizi thread, kama wewe na avatar yako mnavyoendana. Hahaha!
HAHAHAHAH!poa mzee wa tegeta by night!leo tunavamia huko na mpiganaji pande za jioni sana!hehehehe

unajua hizi ''thredi-zetu'' haziboi,na hazina stress
 


MJ1 big up,nimeikubali hii,labda tuwaulize swali hawa wakaka,kabla ya kuoa ulikua unafanya kazi zako vizuri kabisa bila shida,na nyumba inaonekana fresh kabisa,sasa kwa nini mkioa mnabadili tabia? na hamataki kabisa kusaidia wake zenu? Mnakua na matatizo gani? Chrispin,Fidel80 leteni majibu ya haya maswali.
 
HAHAHAHAH!poa mzee wa tegeta by night!leo tunavamia huko na mpiganaji pande za jioni sana!hehehehe

unajua hizi ''thredi-zetu'' haziboi,na hazina stress

Karibuni wadau tudumishe mila zilizowashinda kina MJ1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…