Ndoa nyingi zinazovunjika tatizo si imani,matatizo makubwa ya ndoa mara nyingi hua,usaliti,ubabe,kutopata mtoto,kukosa uwazi,ubinafsi na siku hizi limejitokeza lingine ambalo ni uchovu wa kiuchumi hasa kwa mkuu wa kaya.
Kwa hiyo tatizo likiibuka,watu hutumia dini kulitatua, ambapo sasa,mmoja anakuwa haelewi ni kwa vipi suluhu ipatikane kwa kufuata misingi ya dini asiyoijua. Nawasilisha hoja.