Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,873
- 2,736
Majuzi jamaa yangu kahudhuria bonge la harusi ya rafiki yake. akanionyesha kadi ambayo ilikuwa matata kweli. nikasoma majina-mwanaume mkrisru na mwanamke muislam. nikauliza mbona bibi muislam? akaniambia ilifungiwa bomani. nina mashaka na hizi ndoa kwani kwa maana nyingine ni kuwa wanandoa wamekubaliana katika kutokukubaliana. na hili ni mbaya sana. kila mmoja mbabe hapo. ni sawa na kuahirisha matatizo ambayo yatafumka upya siku za mbeleni na kwa namna mpya. wadau mnasemaje