Ndoa yangu iko hatarini, Ushauri unahitajika.

Ndoa yangu iko hatarini, Ushauri unahitajika.

Au umeoa kwa waarabu?
sababu waarabu kwao kula ni sherehe ya kila siku
hakuna kujibana bana
na ndugu wa mke wanakuja anytime na wakija
wanataka wale kwa kujinafasi sio mambo ya ugali mlenda..
 
Inabidi achekeche akili; pindi atakapowakoromea wakwe zake ndio atakapojua mkewe yuko upande gani;...ukipenda boga...

Na hatujajua ni misaada gani wanayotaka toka kwake; je ni msosi tu kama alivyosema The Boss au school fees etc...

Na ni kweli watu wa Pwani wanaishi kiujamaa sana which kwangu naona inapendeza kwa kuwa wengi hawana makuu kama watu wa bara, wako simple tu.


Kwa hiyo jamaa aendelee nao tu msalaba wake mpaka atakapoufikisha?
 
Inabidi achekeche akili; pindi atakapowakoromea wakwe zake ndio atakapojua mkewe yuko upande gani;...ukipenda boga...

Na hatujajua ni misaada gani wanayotaka toka kwake; je ni msosi tu kama alivyosema The Boss au school fees etc...

Na ni kweli watu wa Pwani wanaishi kiujamaa sana which kwangu naona inapendeza kwa kuwa wengi hawana makuu kama watu wa bara, wako simple tu.


kuna ishu za utamaduni pia
wasukuma mfano wao kula hadi mshibe ni utamaduni zaidi
hawajui kujibana bana eti sababu ya bajeti....
na wakiwa ugenini wanaona ni 'dhambi' kujifanya hamli sana
wanaona kumheshimu mwenye nyumba ni kula haswaa lol...
 
Hata wanyakyusa huko kwao lazima upika chakula cha kubakiza; maana mgeni akitinga muda wowote lazima apate msosi...sijuhi kama na Dar wanafanya haya.

Unajua kuna watu ni masikini mpaka wa chakula; lakini wengine si masikini ni uchoyo tu...wanatumia uzungu kuhalalisha hilo


kuna ishu za utamaduni pia
wasukuma mfano wao kula hadi mshibe ni utamaduni zaidi
hawajui kujibana bana eti sababu ya bajeti....
na wakiwa ugenini wanaona ni 'dhambi' kujifanya hamli sana
wanaona kumheshimu mwenye nyumba ni kula haswaa lol...
 
Lakini ni two ways; ukienda kuwatembelea wasukuma lazima waingie jikoni (nimeona kwa wakwe zangu) wako so kind.

kuna ishu za utamaduni pia
wasukuma mfano wao kula hadi mshibe ni utamaduni zaidi
hawajui kujibana bana eti sababu ya bajeti....
na wakiwa ugenini wanaona ni 'dhambi' kujifanya hamli sana
wanaona kumheshimu mwenye nyumba ni kula haswaa lol...
 
Lakini ni two ways; ukienda kuwatembelea wasukuma lazima waingie jikoni (nimeona kwa wakwe zangu) wako so kind.

na wakikukaribisha usipokula wanakuona mchoyo na wa ajabu
wao kwao msosi unatakiwa uwepo always na wa kutosha

sasa huyu jamaa nahisi mzaramo halafu kaoa msukuma..kazi ipo..

wazaramo hata ugali mlenda ni chakula
wasukuma chakula bila nyama sio chakula
 
Hapa bana ndoa haiko hatarini!! Mkeo hajashiriki vema kuondoa hili tatizo! Ukicheka na nyani utavuna mabua kaka! Wape za uso tu, ila tafuta tamathali za semi isiwe fedhea kwa maneno yako ili uondoe tatizo la sivyo. Utajuta!

Hakikisha wewe na mkeo lenu moja. Kwenye hili...kila la kheri.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nimeoa mwaka huu. Ndugu wa mke wananjaa sana halafu uelewa wao katika maisha mdogo sana, kila tatizo wakipata kimbilio kwangu, na mimi maisha yamenibana sana siwezi kuwalea. Mke wangu hadi amechoka na anaogopa kuwaambia ukweli, jamani naombeni ushauri nifanyeje. Hali sio nzuri.

Mkeo anashindwa kuwaambia nawe mwanaume unashindwa kuwaambia ukweli. Mume/mwanaume ndani ya nyumba ni nani sasa? Waeleze ukweli uponye ndoa yako.
 
Mwambie mkeo aende kwao ajifanye anakusema kuwa hauna kitu siku hizi mnashindia uji na wakija kwako wanyweshe uji ili wakiomba msaada uwaulize hamuoni hali halisi? ila kama uwezo unao wa kuwahudumia kazi kwako!!!! :A S-confused1:
 
Wanakuomba sana hela au wanataka uwasomeshe au wanakula sana?Wala c tatzo kubwa la kuhatarisha ndoa yenu,na anaepaswa kuongea nao ni mke wako si wewe tena kwa lugha nzur nae ataeleweka,we deal na mke wako nae atadeal na ndugu zake,
 
Ndoa hiyo iko salama san ndg as long as wewe na mkeo mnamtazamo mmoja! Cha msingi waambieni ukweli juu hali halisi ya maisha.Na kama ni msaada wenu mtawapatia wakiwa kwao na kama mna nafasi ya kufanya hivyo.
 
Waswahili ndio watu gani, wajameni wacheni aibisha lugha yetu tukufu adimu, hizo ni tabia za watu bana sio tabia za kiswahili.
Respect yo language na wengine wenye tabia hizi mtu ukishamwona mzinguaji unampachika jina eti ni mswahili,
Wacheni hayo mambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom