Ndoa yangu iko hatarini, Ushauri unahitajika.

Ndoa yangu iko hatarini, Ushauri unahitajika.

Umeoa Kigoma nini?
Maana hao jamaa hawakupi mke mpaka wahakikishe choo unachotumia kimejaa wanajua lishe ipo.
 

mkeo ndio anapaswa kuwaeleza kwao
jinsi walivyokua kero,fungukeni la sivyo
mtajutraaa dunia ya leo watu kua tegemezi ni shidraaaa!!
 
kuna wanaume wana dharau sana.....,,


Ndugu za mkeo wana njaa sana eeeh???


Kama huna si uwaambie huna? Au wakati unaoa ulijifanya bill gates?

Waambie huna pesa uwaache na "njaa zao"
 
Nimeoa mwaka huu. Ndugu wa mke wananjaa sana halafu uelewa wao katika maisha mdogo sana, kila tatizo wakipata kimbilio kwangu, na mimi maisha yamenibana sana siwezi kuwalea. Mke wangu hadi amechoka na anaogopa kuwaambia ukweli, jamani naombeni ushauri nifanyeje. Hali sio nzuri.

Wekeni bango mlangoni HIKI SIO KITUO CHA MISAADA
 
kaka waambie ukweli, kwan watakuchukia ila badae wataelewa, pole sana ila ndo majukumu ya ndoa, mwanaume akioa ajue anafamilia tatu,
 
Wekeni bango mlangoni HIKI SIO KITUO CHA MISAADA

Kwana elewana na mkeo alafu kaenj kimya mpaka siku watakapo kuja kuomba
Jibu hali mbaya na ukauzu ju ikienda kama mara tano ivi ratiba itabadilika mkuu 😀🙁🙄
 
Itakuwa ulikuwa unasimamia show sana b4 hujamuoa ndo mana wanajua we mkarimu so lazma waje,wape makavu live ht bible imesema 'dnt depend on anyone'
 
Mradi mkeo nae ameliona hilo basi yeye ndio akawaeleze ndugu zake kwanza,mkiona hamna mabadiliko mtaongea pamoja as a family sasa kama wataendelea watakuwa wanawatafuta undani sasa!!!!
 
Waambieni ukweli tu,vinginevo hamtaendlea mtajikuta hamsongi mbele mnatumikia wao. HAKIKA BUSARA NA HEKIMA NI BORA KULIKO FEDHA NA DHAHABU.
 
Heee vunja ukimya kaka eh uzungumze nao! Heri lawama ya wazi,Kuliko UPENDo uliositirika
 
dawa ni kijifanya 'hamnazo'
unapotea wiki hivi bila kuacha matumizi
watapata akili...
 
Mkewe atakuwa mnafiki...sidhani kama ndugu zangu wanakuwa kero nitashirikiana na mume wangu kuwashangaa badala ya kuchukua hatua...naye ni mule mule...Hiyo ni tabia ya familia.

Mradi mkeo nae ameliona hilo basi yeye ndio akawaeleze ndugu zake kwanza,mkiona hamna mabadiliko mtaongea pamoja as a family sasa kama wataendelea watakuwa wanawatafuta undani sasa!!!!
 
Mkewe atakuwa mnafiki...sidhani kama ndugu zangu wanakuwa kero nitashirikiana na mume wangu kuwashangaa badala ya kuchukua hatua...naye ni mule mule...Hiyo ni tabia ya familia.

Kwa hiyo jamaa aendelee nao tu msalaba wake mpaka atakapoufikisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom