Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,594
Kwa wewe ulioa mke kweli na ulibahatika! Kwa hawa waliooa wanawake chuma ulete huwezi kueleweka siku mishe zikibuma!Inategemea na aina ya mke, niliwahi kufulia japo mke wangu hakuwa na kipato kikubwa sana lakini alisimama imara mpaka hapa nilipo na sikusikia jambo lolote la kudhalilisha utu wangu.
Ubaya wa kuoa ukiwa na unafuu wa maisha ndio huu!mna watoaga wapi wa hivyo
Akili zipi sasa hapo, mwanamke mbinafsi ni nyoka tu hana urafiki wa kudumu!Ishini nasi kwa akili
Hapo ulikaza balaa mzee baba😀 kilume ndago!Mkuu hi ilishanitokea,nilichofanya nikakopaa mtaji kwa baadhi ya watu wangu wakaribu.....kimya kimya nikafungua kibiashara,akawa anaona natoka asubui na Rudi usiku,nikaaza kulipaa bills zote,hapo hatushemedhani ikaenda nikasimama kuja kugundua na biashara akaaza kujirudi,nikaona hapa ndo penyeweeee nilikuwaaa nampelekeaaa motoo mzee baba,nikiwa juu ya kifua namkumbukaa yalee masimango naongezaaa kupeleka Moto mwisho wa siku Hadi hela zakee akaanza kuletaaa kwangu
Natafuta pa kuanzia maisha mkuu ndio jambo kubwa kwangu kwa sasaStory kama hii sikia tu kwa mwenzio,pole sana mkuu kwa unayopitia,sio kwa nia mbaya lakini inaonesha wife ana mchepuko wake tayari anakutafutia sababu tu ya kuachana..
My Take:Achana nae kabla hajakuletea vituko vya wazi wazi
yeah, akili za ubinafsi ni akili piaIshini nasi kwa akili
Hawa watu wanachosha sasa...Mkuu Liverpool VPN njoo umshauri jamaa
BTW anayewadanganyaga eti mke anaweza mlea mume ni nani?
Yaan kweli unaomba hela kwa mke ukaangalie mpira .....yaan bila aibu kabisa unaomba
Mwanamke keshazaa naye watoto wawili.Amekusikia na tumekusikia Mkuu, nini kifanyike?
Usioe mke wa Pili ,,Kaka.Hongera kwa kuvuka kiunzi nami naamini nitavuka.
Niliwaza kama wewe pia kuna mtu wa karibu anaweza nikopesha kaniambia mpaka mwezi wa 10 tarehe za katikati .
mm nilitaka asinione ili ajue tofauti nikiwepo na nisipo kuwepo
ikishindikana maisha yakitengamaa naoawa wa pili
Hili ndio mimi nalisemea .Inategemea na aina ya mke, niliwahi kufulia japo mke wangu hakuwa na kipato kikubwa sana lakini alisimama imara mpaka hapa nilipo na sikusikia jambo lolote la kudhalilisha utu wangu.
Nimejiuliza maswali kama yako mkuu, nikaaandika aa weeeee afu nikafuta, yaaniHIVI GUYS NI WAPI MNAFELI???
WAPI MNAKWAMA NDUGU ZANGU???
KWANN MNAKUA IVI LAKINI???
KWANN HAMNA UANAUME ???
WHY?? YAAAN UUZE NYUMBA YA WATOTO WAKO????
YAANI UUKIMBIE MJI WAKO ULOUJENGA KWA JASHO LAKO????
ET MIAKA KUMI, ALAFU NIWE NA FARAJA.. UNADHAN MAISHA NIKM RAMAN YA NYUMBA????
JE UKIENDA HUKO ALAFU USIFANIKIWE HIYO MIAKA YOTE KUMI??
NDO URUDI UKUTE KESHAZALISHWA ???
AU MNAONGEAGA TU KUPIGISHA WATU STORI???
HIVI KUNA WANAUME MNARUHUSU MATESO YAWAPATE NAMNA HII???
NIKISEMA NIWATUSI ,MNASEMA NAWALUGHA MBAYA.
MNATIA HASIRA SANA!!!!
NIKWAMBA HAYO NI MADAWA NDO MNAFANYIWA ????
MNAKERA SANA MAZEEE, MNAKERA MNOOOOO, YAAN MNANYANYASWA NA WANAWAKE , WANAWAKE MLOWAOKOTA MAHALI, UKAMUOA, UKAMPA HESHIMA, AKAONEKANA MWANAMKE, UMAPA MRADI, ET KISA UMEKWAMA NAYEYE KAINUKA NDO BASI AKUTESE ??????
Pole sanaUkweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.
Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.
Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.
Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.
Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.
Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.
Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.
Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo
Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.
Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Duh! Mambo mazito haya. Ukijumlisha na hii 50/50 wanayo aminishwa na chifu wao Hangaya, tutatakiwa wanaume tuishi kwa akili sana na hawa viumbe wenzetu.
Hahaaaa duuhHawa watu wanachosha sasa...
Umefika muda tuwapige makonzi tu ili kubust akili zao.
Washaambiwa WASIOEEEE ila HAWASIKII.
Haloo brothers NDOA MAJANGA Msioeeee.
#YNWA