Ndoa za siku hizi ni mashaka matupu! Wewe ni mmoja kati ya wengi wanaopambana na kifungo kinachoitwa ndoa..mbaya zaidi wengine hawasemi wako busy kuomba,kusali na kufunga! Waliofurahia ndoa walikua ni wazazi wetu enzi hizo..siku hizi wengi wanavumiliana tu.
Mkuu usiuze nyumba! Halafu dizaini kama unamuogopa hivi..hebu kuwa mwanaume kaka..au tayari kashakuboost? Mara moja moja tia makofi,mtie mabanzi..wapuuzi sana hawa viumbe..sasa namna hiyo kesho mambo yametulia ukitafuta goma lako pembeni ukijilia "kipira" ataanza tena kulalamika..