Ndoa ya mama PHD na baba standard seven

Hiyo ndoa haitadumu maana mmoja wao lazima atajipaisha na kumdharau mwenzake
 

Kumbe kwako umeona Soln ni pexa km upendo wa dhat hakuna hta uwe na pexa kiac gan nisawa kaz bure mpnde vle alvyo ucmpende mtu kwa kuwa ana kit na pia kuwa na elmu sio kuelemika tuna ma Prof hapa Tz wanaishia kubaka tu
nguv ya elm ina umuhmu pale inapo tumika
 
Kimaumbile, mwanaume ameumbwa kumtimizia matakwa ya mke wake, kuanzia kumlisha kumvisha na mengineyo! ili family iwe stable lazima mwanaume amzidi mwanamke kipato/elimu au vyote!

Kwa situation hiyo the only way possible ni mwanaume awe Bilionea otherwise awe serengeti boy akubali kila anachoambiwa.
 
 

Mbona Dada yako anaolewa akiwa na mtoto wa mwanamume mwingine??? huyo wa kwanza na aliye mzalisha walishindwana nini?? Kijana standard 7 soma alama za nyakati ila mapenzi ni uhuru wa waliopendana. na huyo dada yako akitaka afurahie hio ndoa arudishe mtoto wa watu kwa baba yake hapo atakuwa salama ndani ya ndoa hiyo otherwise ategemee ugomvi utakao sababishwa na wivu.
 
In love ,nothin is impossible. Hiyo ni michango yetu tu, lkn ukwel wa moyo upo nafsin mwa wahusika. Why negativity and not positivity? Arrg!
 
STD kama ana hela yaani mfanyabiashara maarufu hapo ndoa itawezekana lkn kama hana kitu hamna ndoa hapo!

Kamshinda mno kwa elimu na yy amshinde sana kwa pesa
 
Mmmh PHD..STD 7!!!
Siku mapenzi yakipungua mwanaume atajutaa huko ndani, labda aombe apendwe daima na milele na mwanamke awe na busara za kutosha!!!!
Kwasababu hii imesemwa na KE basi huu ndo utakuwa uhalisia.
 
Hii itawezekana tu kama mwanamke ataiacha Ph.D yake mlangoni kila aingiapo nyumbani. Tofauti na hapo, misuguano haitaisha na ndoa itakuwa vurugu kwani mitazamo itakuwa imeachana sana.
 
Kama walielewana tangu urafiki mpaka uchumba wataendelea kuelewana mpaka ndani ya ndoa. Ndoa ni zaidi ya kuwa na elimu na pesa
 
Kama anampenda kabisa huyo jamaa kutoka moyoni aolewe tu...tofauti na hapo asiolewe. Upendo ndo autumie kuamua maana kama anampenda ataweza kujishusha kama mama na kuvumilia siku wakiwa wametofautiana. Maana hata kama mwanaume anahela kiasi gani maisha huwa hayatabiriki kuna kupanda na kushuka. Kama anampenda kweli wataelewana tu. Cha muhimu wawe wanapendana kweli.
 
watu wanasema pamenzi hayachagui... lakini tuwe wakweli, mapenzi yanachagua wa kufanana naye...

Hiyo relationship ni recipe for a disaster... DONT EVEN TRY IT
 
nyie mko dunia gani jameni? mimi ni mmojawapo. Ukimaliza degree ya kwanza na miaka 24, ukaanza masters na miaka 25 ukamaliza na miaka 27 ukaanza phd na miaka 29 utamaliza ukiwa na umri huo.

naomba nikuoe.....
 
Kwa mwendo huu sisi wa STD 7....ndio basi tena...maana STD7 wenzetu wanataka wasomi
Na wasomi nao tukiwatongoza kutukubalia mpaka waje watutungie thread huku....Kazi ipo....
 
Hii itawezekana tu kama mwanamke ataiacha Ph.D yake mlangoni kila aingiapo nyumbani. Tofauti na hapo, misuguano haitaisha na ndoa itakuwa vurugu kwani mitazamo itakuwa imeachana sana.
ni bora mwanamke akuzidi umri ila sio kipato na elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…